Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Binadamu wanatofautiana, kuna wenye busara na wengine hawana. Inategemea walivyolelewa.
Kinachowakera wao ni vigezo kwa hiyo sasa wameamuwa kukeleli.
Lakini pia nahsi wako hivi hata nje ya hapa.

Na baadhi yao ukiwazidi mnooo kipato/elimu, ndio hutafuta njia ya kukudidimiza kama hivyo watakubaguwa kijinsia ( kwa mfano hawataki kukubali kuwa tunajitambua sio wajinga) yote hayo ni choyo, ujinga na kutojiamini.
 
Hii inaitwa full dose, hapa umekomesha.
 
Dah wakuu washamvuruga mdada isee.
Dadaangu zama inbox tuweke mambo sawa kwanza huko watakupa stress tuu hawajui kama ww ni ua....njoo
 
Woooow! Upo London sehemu gani nkufoolow baadae
Me nipo new York
Ngoja nku pm[emoji1]
 
Umepata? Kama bado, nipo
 
Toka PM kama mwaumekweli tuanike uvo wako hadharani na kwa taarifa yako wachawi ni wewe na famila yako na endeleeni kuvuta madawa kama mlivyo zoweya halafu rudi kuja kutunana wanawake.
Hebu mblock...usione comments zake...watu wana hasira sijui shida nini...
 
Ila uongozi wa jf una walakini...watu wanadhalilishwa sana humu na wapo kimya
Labda mods wanaenjoy au wanashiriki, huyo mdhalilishaji nimemrepoti walichofanya ni kufuta post zile za matusi tu na muhusika yuko free tu hakuna hata ban ya kumfunza adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…