Natafuta mchumba wa kiume

Mm ni mcha mungu ila navuta bangi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Damn!!!!!!
 
Nani anaoa mwenye mtoto skuiz [emoji23][emoji23] mechi inaanaga 0-0 sio 1-0, kazana utapata
 
Njoo dm
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu haya mambo bana.

Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
 
Baba niunganishe nae mimi. Mzigo mzito mpe mnyamwezi. Mnyamwezi ndio mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…