google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
kama ww ni mpole baba wa mtoto yuko wapi ?Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
dah nina 36 nishakosa mke
Musiber at work.
Baba yake mtoto Yuko wapi kafariki au yuko likizo anasubiri nan ajitokeze alele mwanae[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mimi single mama,hautaniweza.Wewe mwenyewe vipi hutaki mume nichangamke??
Ila wanawake bwana unataka mchapakazi wakati wewe hujatuambia unafanya nini hapa duniani ili kukuwezesha kuishi.
Ukiamua kujilipua katika hili suala,itabidi mtoto apelekwe bweni (shule) ili kuepusha msongamano.
Daaah Mimi nina miaka 28 vipi utanikubali nije PM
Mimi single mama,hautaniweza.
Mungu akufanyie wepesi mama
Nyie humu kila siku mnazodoa single moms.Tena wewe ndio mzuri. Maana hatuanzi uzazi bali tunauendeleza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu mna macho
Unataka aoe mtoto au mama jananiMwanao ana umri gani? Nina kaka yangu hajaoa.
Hamna sio Mimi
dats gudMmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Mafao bado mkuu. Hadi nifikishe walau 58.Anza Kudai mafao yako achana na hizi habari. Miaka ya 90 ulikuwa kutafuta mke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mafao bado mkuu. Hadi nifikishe walau 58.
Usisahau Life begins at 40.
So I have just started my life π π π
π π π π πSiku unarudi unakuta alikuja mtoto alizidiwa sana...na kwa kuwa alitoka mbali akachinjiwa na Yule jogoo wako kuchi unayempenda sana......hahaaaaaaa...mtoa mada utapata hitaji lako this is joke tuu