Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Duh!! wewe kiumbe upo?Kila la kheri mtani
Nasubiri na wewe uweke tangazo!Utapata
Hongera kwake
USIOGOPE CHANGAMOTO MWANAUME, ACHA MUWE WENGI ILI AWACHUJE KWA WRITTEN THEN ORAL
Kua makini JF wamejaa mabazazi na wapenda luzi boli.Nimekupa namba
Tatizo lao wanazama mazima kabisa. Kumbe jamaa ni hit and run sasa wao kutojielewa wanategesha.Bora hawa wanaokuja hapa jukwaani na kuelezea hisia zao maana platform hii ni kubwa wana asilimia kubwa za kupata. Kunamwngine huko mtaani kaniomba nimuuunganishie kwa marafiki zangu wanaotaka kweli kuoa, ila tatizo ana watoto wawili lakini kimwonekano yuko vizuri sana, nikabaki najiuliza, na uzuri huo shida ilikuwa nini mpaka mtu akuzalishe watoto wawili halafu asikuoe na pia unakazi, nikabaki majibu sina. Tuwaombee dada zetu.
Hahahaha daaah.Musiber at work.
Umepotea wewe tu... Mie nipo kila siku humuDuh!! wewe kiumbe upo?
Nasubiri na wewe uweke tangazo!
Utanunua gari ukiwa kwa mume mkuu
Ahsante sana mtani. Endelea kuniombea nivishinde hivi vita vya kuishi mpweke
Kiutamaduni inatakiwa pindi baba wa mtoto anapotaka kuja kumuona mwanae sharti moja inatakiwa akutaarifu pindi akitaka kuja kumuangalia mtoto wakeNdugu yangu haya mambo bana.
Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
tutanunua tukiwa wote mamaa. embu njoo tufunge ndoa tunachelewesha bure watoto kuanza shule
naanzaje kumnyanyasa mtu ninayempenda. embu bana acha hizo hili jambo la heri tulifanye upesi.Hahahahhahahahaha sitaki uninyanyase
Yeye ana chama kwani?siyo kama dadayako sky eclat?