Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

Njoo pm tutete ya kwetu kwanza.
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahuni na upelelezi masimango na tamaa
 
Bora hawa wanaokuja hapa jukwaani na kuelezea hisia zao maana platform hii ni kubwa wana asilimia kubwa za kupata. Kunamwngine huko mtaani kaniomba nimuuunganishie kwa marafiki zangu wanaotaka kweli kuoa, ila tatizo ana watoto wawili lakini kimwonekano yuko vizuri sana, nikabaki najiuliza, na uzuri huo shida ilikuwa nini mpaka mtu akuzalishe watoto wawili halafu asikuoe na pia unakazi, nikabaki majibu sina. Tuwaombee dada zetu.
Tatizo lao wanazama mazima kabisa. Kumbe jamaa ni hit and run sasa wao kutojielewa wanategesha.
 
Ndugu yangu haya mambo bana.

Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
Kiutamaduni inatakiwa pindi baba wa mtoto anapotaka kuja kumuona mwanae sharti moja inatakiwa akutaarifu pindi akitaka kuja kumuangalia mtoto wake
 
40yrs vipi.... Nafanya warm up, ukikubali tu nazama mazima
 
Back
Top Bottom