Mara nimeitwa mahala fulani na baba wa mtoto,tukayajenge. Hapo ujue mtoto wa pili nae ni wa huyo huyo mwenye mtoto wa kwanza. Halafu usiombe wewe na huyu msiwe mmebahatika kupata mtoto.Ndugu yangu haya mambo bana.
Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
Duuu huu mkwala bi dada hajajibu Tena msg yoyote mkuu hongera kwa kuchukua kombejamaan mjadala ufungwe konsa nishakuja PM tuyajenge ukiendelea ku reply text huku nitajua auko serious
Umri sawa na wangu mkuu,lakini najitosa hivyo hivyo kwenye kinyang'anyiro. Wapo wenye miaka 35 wengi tu ni wazee kuliko mimi wa 40. Hapa ni kujitosa mzima mzima.....![emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Nina 42 tu 😀
Sidhani kama una roho mbaya ya namna hiyo....Wewe una mke bwana,nitakusemea shauri yako.
Tuwape pole tu maana hamna namna.Tatizo lao wanazama mazima kabisa. Kumbe jamaa ni hit and run sasa wao kutojielewa wanategesha.
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Mume muhimu kwa afya yako mkuuSitaki manyanyaso[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona haujibu PM yangu...!!??Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Hamna sio Mimi
Hapa sitakubali,Ila chunga sana isije ikawa huyu mtu ni mmoja ya wasiojulikana.Sidhani kama una roho mbaya ya namna hiyo....
Au ushkaji wetu ndo umefikia tamati?
Nitazingatia ushauri wako mshkaji wangu....Hapa sitakubali,Ila chunga sana isije ikawa huyu mtu ni mmoja ya wasiojulikana.
walishakuja mbona wewe umechelewea wapi?
Ulizaa ukiwa 21? Hatari sana