Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

Ndugu yangu haya mambo bana.

Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Uzi kama huu always tuwe makini sana... Hua napata shida sana eti mwanamke anakosa mchumba hadi anakuja JF kutafuta mchumba wakufunga nae ndoa.

Anaweka hadi number zake za simu,bila ya uoga wowote,na sisi wanaume tulivyo mafisi tunaenda inbox tunatoa number za simu.

Jaman sio wote wanaokuja humu kwa gia zakutafuta wachumba mme au mke,matangazo ya kazi,fursa na mambo mengineyo....

Wanaume wenzangu tuwe makini sana na hizi mambo,nilifanya ujinga kwa kwa mtu mmoja wa humu JF,hua najiuliza huyu dada asijekua ni geti jeusi,maana alinipa papuchi mara 4 nikala, ila hadi leo ile number aliyonipa haipo tena hewani,halafu ile account ya JF haipo pia... Duhh huyu dada ananipaga mawazo mazito sana kama lilivyo jina langu

Dada mzuri,mrembo presentable hayupo tena hewani si hapa JF au kwenye number aliyonipa,Dada hana shida ya pesa,anakunywa wine tu,hana papara na maisha,ukimwambia twende sehemu anakuja kwa bills zake... Huyu dada huyu sijui lakini
 
Elimu yako? Unafanya nini ili kusukuma maisha. Maana kaka yangu anafundisha UDSM. Lazima nitakapokuwa nampa info zako ataniuliza hayo maswali mawili.
Kaka yako atakuwa domo zege! Yaani mabinti wanono ako nao pale mlimani ndio uje umtafutie mke kwenye Facebook? Tena mashangingi? Kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom