I WELL KNOW THE SPELLING ITS JUST THAT I DID NOT PUT MUCH SERIOUS ON IT
Alikusomesha huyo mume wa mtu.ULINISOMESHA WEWE?
Bidada kanistua atiiiNini shida ngosha?
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
aH HAHAHAHAHA kaka mtoto anataka anaejua kupiga pamba,
...yani wewe ndio bonge la kiazi, eti umeweka poz!πππ
Ooh poye ngoshaBidada kanistua atiii
Sasa tukianza kukosoana humu ndani sio fresh wadau mtu kuweka picha imekuwa kero jamani