Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

mama unatafuta mume au buz kudadek mbona hil la kazi na kipato umekazania kama chakula aisee au hiz vipato ndo vinakuridhisha wew kitandani na kimoyo GROWN UP Degree holder
 
0cc4da82bc285c142d22c6c74386dcbc.jpg


Hii picha imenichekesha kinoma eroo, sijui kwanini. Ila kutoka moyoni, big up sana. Umetisha man. Wasikukatishe tamaa watu wanaosema ovyo.
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Karibu mrembo nipo
 
Imepita takriban wiki moja sasa. Bidada hujatupa mrejesho, bado tu hujapata mwenza au hata watu ambao wanasifa ulizotaja?
 
Mi naomba hiyo nafasi
Ni mtanashati
Handsome la nguvu !
Sio bahiri wa kuhonga na pesa nnayo!
Kazi yangu naibaga mafuta ya transfomer.
Nimejenga na nna magari mawili njoo mamy tule maisha!!!
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Huyo uliemchoka anajua kachokwa?
Na wewe ulikua unatoka na mme wa mtu, wenzako wakitoka na mmeo utamaind?
 
Mm mbya sura yangu mbuz nina phd yangu ya ufugaj nyuki pesa zpo kwa ckuu natumia bilion 5. Kaz kwa hansome bila pesa
 
Dah! Hiyo "dear" kama nimeisikia hivi jinsi ulivyoitamka! It sounds so beautiful... niny, hebu punguza hizo requirements bhana! Hao ma-handsome wapiga pamba mtaishia kugombania dressing table 2 na kuibiana poda! Hebu weka requirements za kiporipori watu tutume cv zetu!
Kweli kiongozi
 
Ukiachilia mbali hiyo degree huna kautalaamu kausangoma kweli?Maana hayo masharti haya pishani sana na watoa ndagu!
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Njoo inbox
 
asiye mbahili??? nyie ndio mnasuka nywele za laki aaafu mnaendelea kufurahia nyumba za kupanga
 
Back
Top Bottom