Natafuta mchumba



..kufanyaje kidonda!,...hahaaaaaa!
I' m so done...lol!
Umefanya nicheke mwenyewe kama nina walakini πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mpaka atangaze kapata.

Wana JF baada ya interviews na mchujo mkali sana hatimaye nimepata mchumba! Ila kama nilivyosema awali kulikuwa na kila dalili ya ku-compromise na imebidi nifanye hivyo.

Vigezo vinne nilifikiri ni vichache sana, na kiukweli ni vichache ila vimekuwa adimu humu JF au wenye navyo washachuliwa kama King'asti . Kwahio nimempata ambae angalau amefikia vigezo kwa at least 60% kwenye kila kigezo ila niseme ukweli kigezo cha exposure ilibidi ni-standardize maanake score zilikuwa very low.

Asanteni kwa comment zenu zimesaidia sana kujenga zaidi ya kubomoa. I'm officially taken ukiniona PM kwako nakuruhusu uje kunisemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…