Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
Mambo mazuri hayahitaji haraka mamii.Duuuuh! Sitaki, yasije nikuta yalomkuta binti nanihii, ngoja tu nisubiri ninaloendana nalo.
Alafu mbona hutoi tangazo?[emoji57] [emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mazuri hayahitaji haraka mamii.Duuuuh! Sitaki, yasije nikuta yalomkuta binti nanihii, ngoja tu nisubiri ninaloendana nalo.
Alafu mbona hutoi tangazo?[emoji57] [emoji57]
Sio wote, ila dont ask me[emoji12] [emoji12]
Hiyo plastik nanihii nimeghairi sitaki tena.
Mmh! Nafasi hupewi[emoji85]On that same note, naomba mtupe nafasi.
Later!..
Ngoja ngoja yaumiza matumbo.Mambo mazuri hayahitaji haraka mamii.
Mmh! Nafasi hupewi[emoji85]
Ugonjwa wa kila mtu huo daaah[emoji134] [emoji134]Nilikuwa naota dear!
Since tumekuwa Jecha-ed tusaidiane tu sasa kuchonga tangazo.
Mi napenda abs.
Mmmh mmeanza kunitenga na x-pozha zenu, abs ndo nini, ukute na mimi naipenda[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Nilikuwa naota dear!
Since tumekuwa Jecha-ed tusaidiane tu sasa kuchonga tangazo.
Mi napenda abs.
Ugonjwa wa kila mtu huo daaah[emoji134] [emoji134]
Khaah! We sio mwenzetu, unapajua hadi makete.Mmmh mmeanza kunitenga na x-pozha zenu, abs ndo nini, ukute na mimi naipenda[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Teh ushawahi kula ugali wa ngano? Yani wale ndugu zake Khantwe ntasimulia siku nyingineKhaah! We sio mwenzetu, unapajua hadi makete.
Hahahaaa!! Nishawahi ila ulochanganywaTeh ushawahi kula ugali wa ngano? Yani wale ndugu zake Khantwe ntasimulia siku nyingine
Yaani wewe na Heaven Sent kama wachawi.....Hahahaaa!! Nishawahi ila ulochanganywa
Kwanini? Usiniambie umeachwa nifurahi!Yaani wewe na Heaven Sent kama wachawi.....
Hahahaaaa! Asisahau na mbilimbili[emoji39] [emoji39]Utaipenda tu, tena uongezee tu pilipili na tu chunvi
Teh ushawahi kula ugali wa ngano? Yani wale ndugu zake Khantwe ntasimulia siku nyingine
Yani ndo Umezidi kunichanganya, kwa kiswahili ndo kitu gani jamani. Mmmh kweli atoto sio level zangu na yeye anajua "abs"[emoji87] [emoji87] [emoji87]Anti-locking Brake System.......🙂🙂🙂
Khaaa tumefanyaje jamani, tulivyo innocents hivi[emoji13] [emoji13] [emoji13]Yaani wewe na Heaven Sent kama wachawi.....