Natafuta mchumba

Heaven Sent ugali wa ngano unatengenezwaje?!

Utanifaa sana, baada ya kukatwa na RRONDO itabidi niongeze tu nyama kidogo naona wembamba haulipi.
 
Aaah Mungu awabariki. Kumbe mpo tu hapa kutafuta ushirikiano na mimi, nyie sio wa level zangu. Msiniquote tena[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Chezea kukatwa wewe! Hapa hata hatuelewi tunachokiandika, hebu tuulize tena kesho maybe mambo yatakuwa yamekaa sawa.
 
Eti unaongeza na X-pozha!, tehe!
Hahaha ndo maana tumeover qualify. X-pozha nyingine kesho, ulete na wewe za kwako za kula kwa umma na kisu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: kui
Chezea kukatwa wewe! Hapa hata hatuelewi tunachokiandika, hebu tuulize tena kesho maybe mambo yatakuwa yamekaa sawa.


Acha tu!, maradhi yote ugua lakini sio kukatwa.
Thank God it's Friday, tutapata nafasi ya kupumzika na kupunguza stress.
 
Heaven Sent na atoto

Msikute mchumba kamwambia RRondo tunatia kiwingu hapa. Hebu twendeni na sisi tukaweke tangazo. Halafu tuanze kushona sare za mnuso.
Hahaha sisi ndo mawifi, mchumba atuzoee tu. Tena aanze tu kutupigisha na story, tukitia mgomo sisi oooooooh[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Reactions: kui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…