Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha sasa mtu mwenye sifa zake ntamkatishaje tamaa bana? Basi ngoja nimfate mwana kwaito mwenzangu housegirlNaona umeamua kuniharibia....kwa comment hii unawakatisha tamaa kabisa! Naomba umfuate housegirl kapita >>>>>>
Daah bora hapo umenitia moyo kidogo. Nakuja basi pm, hata ukinikata nikate basi kwa huruma kidogo[emoji87] [emoji87]Naona kuna kila dalili ya ku-compromise!
Mi mwenzio kizungu chenga....ndo kasemaje?Daah bora hapo umenitia moyo kidogo. Nakuja basi pm, hata ukinikata nikate basi kwa huruma kidogo[emoji87] [emoji87]
Daah bora hapo umenitia moyo kidogo. Nakuja basi pm, hata ukinikata nikate basi kwa huruma kidogo[emoji87] [emoji87]
Naona nyie wawili mmeamua kuvuruga hili zoezi. Kama hamna vigezo si mtulie tu?!!Mi mwenzio kizungu chenga....ndo kasemaje?
Mkuu kwani tunazuia watu kuja hapa? Anyway ngoja nimfuate Housegirl[emoji124] [emoji124]Naona nyie wawili mmeamua kuvuruga hili zoezi. Kama hamna vigezo si mtulie tu?!!
Mkuu nimeshaondoka nakutakia utafutaji mwemaWakiona wewe na viwango vyako unaji-disqualify watakimbia.
Hahaha nimekumbuka exposure yetu ya kuchana mbaoHahahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo namba 2 naona tutatafutana ugomvi hapa we hayaa
Amesema eti mimi na wewe tuna vigezo vyote[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mi mwenzio kizungu chenga....ndo kasemaje?
Hem tuondoke kwenye uzi wa watu bhana usinikoti tena[emoji125]Hahaha nimekumbuka exposure yetu ya kuchana mbao
Amesema eti mimi na wewe tuna vigezo vyote[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahahahahaaa.There is a huge chance of me winning lottery jackpot than these two ladies being single.............