Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
1.Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea mana sipendi kuwa na msichana mwenye mambo ya utoto utoto.
2.Rangi yeyote iwe nyeusi au nyeupe ila sio weupe wa kujichubua.
3.Akiwa na chura itapendeza zaidi
4.Elimu kuanzia form four na kuendelea
5.Akiwa mkristo itakua poa zaidi
6.Kama anajishughulisha na shughuli halali ya kumuingizia kipato itakua poa zaidi ila hata kama hana ajira hainizuii mimi kuwa na yeye.
7.Asiwe mwembamba sana, awe na mwili wa wastani na urefu wa kawaida.
8.Awe mkoa wa Dar es salaam
SIFA ZANGU:-
1.Mweupe wa kawaida sio kama papai bichi
2.Ni mrefu na nina mwili wa wastani (urefu wa kawaida sio kama wale wacheza basketball)
3.Dini yangu ni mkristo
4.Naishi Dar es salaam
Kama upo serious njoo inbox tuyajenge