Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameshajitokeza huyo sasa ..ndio ufanye ujiweke hapoAhahahaaaaaa uwiii mechoka kutafuta dia, nimepumzika now [emoji26][emoji26]
kwakweli hajui haswaaabasi wewe hujui,,ni kawaida sana men kutokua na mwanamke !kuliko mwanamke kutokuwa na mwanaume !ni maamuzi tu!sio km nyny
Mbitiyaza changamkia fursa ndugu yangu. Kumbuka idadi tunazidi kupungua [emoji23] [emoji23] [emoji23]Neybright hv hutafut mkkyumba?
KKW (Kizuri kula na wenzio)
Mbitiyaza changamkia fursa ndugu yangu. Kumbuka idadi tunazidi kupungua [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee. Pole sana. Lakini jaribu kumtongoza unafikiri wanaume tunapuziaga hisia za mtu. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ikishindikana nitumie hata mm nitakusaidiavigezo baba sinaaa!nalia na moyo wangu mm
Aisee. Pole sana. Lakini jaribu kumtongoza unafikiri wanaume tunapuziaga hisia za mtu. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ikishindikana nitumie hata mm nitakusaidia
Sina vigezo mpendwa [emoji26][emoji26]ameshajitokeza huyo sasa ..ndio ufanye ujiweke hapo
Daaah mzee wa ku view profile za watuumejiunga jumamosi halafu umetafuta sana hehehe au umesahau kuwa una ID mpya mkuu...?? ndo maana hupati maana wewe unajibadili sana.
Picha ya mwanaume mwenzio upeleke wap???uliza jamaa humu jinsi ya kuweka wakuelekeze.
Picha ya mwanaume mwenzio upeleke wap???
sio kweli ..achana na Hawa vijana wenye miaka 30 kushuka chini ..wengi macho yao hayana weledi wakutazama maisha kwa jicho la 3 ..wanadhani vigezo vya mke niawe tu na chuchu saa6"" hao ndio wanaokufnya ujione kuwa huna vigezo. ilhali bado unavyoSina vigezo mpendwa [emoji26][emoji26]
tena kama wewe utakuwa nazo nyingiDaaah mzee wa ku view profile za watu
Haya maneno yanatia moyo jamn kwa sis wahengasio kweli ..achana na Hawa vijana wenye miaka 30 kushuka chini ..wengi macho yao hayana weledi wakutazama maisha kwa jicho la 3 ..wanadhani vigezo vya mke niawe tu na chuchu saa6"" hao ndio wanaokufnya ujione kuwa huna vigezo. ilhali bado unavyo
Mtoa mada naomba picha yako pm nione kama tunaweza fanya collabonawasaidia nyie ili uende ukimjua au wewe ushapat hehe
hahaa inna wewe uhenga umeutoa wapi ndugu yangu !!?Haya maneno yanatia moyo jamn kwa sis wahenga
hahaaaMtoa mada naomba picha yako pm nione kama tunaweza fanya collabo
Asanteh kwa kunipa moyosio kweli ..achana na Hawa vijana wenye miaka 30 kushuka chini ..wengi macho yao hayana weledi wakutazama maisha kwa jicho la 3 ..wanadhani vigezo vya mke niawe tu na chuchu saa6"" hao ndio wanaokufnya ujione kuwa huna vigezo. ilhali bado unavyo
hehe collabo?? kolabo nzuri inataka wasanii wote wawe na chemistry.Mtoa mada naomba picha yako pm nione kama tunaweza fanya collabo
Daah hujui tu naomba uendelee kunifariji tu ndugu yangu huku jf wakianzaga kutusema mara sijui upo timezone mara sijuii nnhahaa inna wewe uhenga umeutoa wapi ndugu yangu !!?