Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

h
Daah hujui tu naomba uendelee kunifariji tu ndugu yangu huku jf wakianzaga kutusema mara sijui upo timezone mara sijuii nn
Moyo unapondekaa haswaa
ahahaha
 
Daah hujui tu naomba uendelee kunifariji tu ndugu yangu huku jf wakianzaga kutusema mara sijui upo timezone mara sijuii nn
Moyo unapondekaa haswaa
hahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...
 
wengi wao wana bariki ndoa maana muda mwingi ni kama wanazini sasa hawa unaowapa moyo kama hawana watoto waangalie sana huu moyo unaowatia
hahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...
 
hahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...
Uuuh!! hearly be blessed..awesome words
Umenigusa na kunifariji pia
 
wengi wao wana bariki ndoa maana muda mwingi ni kama wanazini sasa hawa unaowapa moyo kama hawana watoto waangalie sana huu moyo unaowatia
sasa kama wanaume wakuwa owa hawajajitokeza kwao unataka wafnyje ilhali unajua wazi kuwa nawao wana matamanio ""'!!?
 
Hater at work
haha shauri yako kwa sababu hutaki kuamini kile ambacho akilini mwako hata kama ni ukweli.

profesa jay ana watoto kitambo alilopata ubunge akaona abariki asionekane muhuni
zitto pia ana watoto siku nyingi wengine aliwatoroka Tasamaganga kuna mwanae anaitwa zitto siku akiwataka anawafata sasa endelea na hiyo misemo hehehe
 
Back
Top Bottom