Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Hiyo haishangazi kama ww ni mwanachama mtiifu wa jftena kama wewe utakuwa nazo nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo haishangazi kama ww ni mwanachama mtiifu wa jftena kama wewe utakuwa nazo nyingi
hehe atawapa moyo tu halafu yeye kaoa akiwa na 25... muda uzingatiwe NeemaAsanteh kwa kunipa moyo
ahahahaDaah hujui tu naomba uendelee kunifariji tu ndugu yangu huku jf wakianzaga kutusema mara sijui upo timezone mara sijuii nn
Moyo unapondekaa haswaa
Acha kutunanga basihehe atawapa moyo tu halafu yeye kaoa akiwa na 25... muda uzingatiwe Neema
Mkuu naona unapigilia msumari wa moto kwenye kidondaumeshamletea dharau ..pambana na hali yko ssa
Tutacheki huko huko kama chemistry zetu zitaendanahehe collabo?? kolabo nzuri inataka wasanii wote wawe na chemistry.
halafu yeye kaoa akiwa na 25....Haya maneno yanatia moyo jamn kwa sis wahenga
hahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...Daah hujui tu naomba uendelee kunifariji tu ndugu yangu huku jf wakianzaga kutusema mara sijui upo timezone mara sijuii nn
Moyo unapondekaa haswaa
haha producer atashangaa mnafika studio kumbe hamna chemistryTutacheki huko huko kama chemistry zetu zitaendana
pole sana mkuu ..nilikuwa cjui kma umepatwa na woundMkuu naona unapigilia msumari wa moto kwenye kidonda
hahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...
Uuuh!! hearly be blessed..awesome wordshahaaa ""inna unapokosea NI hapo unapoamua kuyachukua mambo yoote ya humu Jf nakuyapeleka kwenye maisha halisi ya mtaani """ prof..jay kaoa akiwa na miaka 40 bila shaka mkewe alikuwa na zaidi ya miaka 32.. Ay ktoka kuoa juzi tu bila shaka mkewe anaonekana ni over 30 ...vipi kuhusu zito kabwe na mkewe ..WAKATI WAKO UKIFIKA HAKUNA WAKUWEZA KUUSIMAMISHA MAMAA...
Hater at workwengi wao wana bariki ndoa maana muda mwingi ni kama wanazini sasa hawa unaowapa moyo kama hawana watoto waangalie sana huu moyo unaowatia
asante mkuu ..ubarikiwe na kiu yko impate waku kunywesha maji...Uuuh!! hearly be blessed..awesome words
Umenigusa na kunifariji pia
[emoji120] [emoji120]asante mkuu ..ubarikiwe na kiu yko impate waku kunywesha maji...
sasa kama wanaume wakuwa owa hawajajitokeza kwao unataka wafnyje ilhali unajua wazi kuwa nawao wana matamanio ""'!!?wengi wao wana bariki ndoa maana muda mwingi ni kama wanazini sasa hawa unaowapa moyo kama hawana watoto waangalie sana huu moyo unaowatia
ili ufanikiwe unahitaji marafiki "" na ili ufanikiwe zaidi wahitaji maaduiHater at work
Mbona unatuandama sana?hehe atawapa moyo tu halafu yeye kaoa akiwa na 25... muda uzingatiwe Neema
haha shauri yako kwa sababu hutaki kuamini kile ambacho akilini mwako hata kama ni ukweli.Hater at work