mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
haha shauri yako kwa sababu hutaki kuamini kile ambacho akilini mwako hata kama ni ukweli.Hater at work
profesa jay ana watoto kitambo alilopata ubunge akaona abariki asionekane muhuni
zitto pia ana watoto siku nyingi wengine aliwatoroka Tasamaganga kuna mwanae anaitwa zitto siku akiwataka anawafata sasa endelea na hiyo misemo hehehe