Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Hater at work
haha shauri yako kwa sababu hutaki kuamini kile ambacho akilini mwako hata kama ni ukweli.

profesa jay ana watoto kitambo alilopata ubunge akaona abariki asionekane muhuni
zitto pia ana watoto siku nyingi wengine aliwatoroka Tasamaganga kuna mwanae anaitwa zitto siku akiwataka anawafata sasa endelea na hiyo misemo hehehe
 
sasa kama wanaume wakuwa owa hawajajitokeza kwao unataka wafnyje ilhali unajua wazi kuwa nawao wana matamanio ""'!!?
kumbe unawapotosha ilhali ukweli unao hahaha sasa usishangae wakatembelea maneno yako kama msaafu.
 
Kichwani wanakuwa vzr zaidi tofaut na hawa wa kuanzia 25 hadi 22 ujana unakuwa mwng kichwani,,, na pia wahenga wengi hasa kuanzia 30 tyl wanakuwa wanajua maisha ni nn,,,hawana mambo meng,, mtazamo wangu huu toka kwa baadh ya wahenga nlokwsha waona
 
Kichwani wanakuwa vzr zaidi tofaut na hawa wa kuanzia 25 hadi 22 ujana unakuwa mwng kichwani,,, na pia wahenga wengi hasa kuanzia 30 tyl wanakuwa wanajua maisha ni nn,,,hawana mambo meng,, mtazamo wangu huu toka kwa baadh ya wahenga nlokwsha waona
Ni kweli hujakosea
 
Mimi nilivyomuelewa anashangaa ni kitu gani kinamfanya mwanaume aje kuweka tangazo mtandaoni? Ameshindwa kutongoza au tatizo ni nini? Hata mimi nashangaa kwa kweli...mwanamke akitangaza sawa maana sisi tunasubiri kutongozwa na huwezi kuchagua utongozwe na nani. Huenda wale wote wanaokutongoza hujawapenda na wale unaotamani wangekutongoza hawana wazo hilo na kwa sababu ni ngumu kwa mwanamke kumfuata mwanaume amtongoze anaamua kuja kuweka tangazo ajaribu huenda atakutana na mtu anayemtaka.
Hali ni tofauti kwa wenzetu, wao wana uwezo wa kumfuata yeyote wanayemtaka wamtongoze ila tatizo linakuwa nini hadi waje huku? Ni kwamba wale wote wanaowaona hawajawavutia? Wanashindwa kuwatongoza wale wanaowataka?
Wewe umenielewa mwanaume kutoa tangazo na vigezo vyako humu ni ishara ya udhaifu mkubwa huwez kukosa mwananke kiasi chs kujinadi...maana yake hapo mnatafutana mlikosa mliowapenda unaangalia atakayetokea kwa mwanaume haiko sawa kabisa..kwa mwanamke namuelewa kabisa sababu yeye ndio hufatwa na sometime umri umeenda upweke umemzid anaweza kuomba kujinad siio dume zima...ni aibu kwa upande wangu na malez yangu..siwez kukosa mwanamke hata kama sina hela na. Nawapata ninaowataka inakuwaje wewe unaishiwa had uje huku..!..
 
Ni kweli hujakosea
Pia wahenga ni wepesi kubadilisha upepo hasa anapomuona mwenza wake bado anautoto,, na hapo ndo vijana wengi wanapofeli weng wao wanakuwa na mahusiano na wahenga ila hawawajui wenza wao wako na focus gani,, wanahisi wapo pale kwa ajl ya kutmiza haja zake tu ktu ambacho si kweli,, mawazo ya mhenga huwa ni mara mbili ya mawazo ya kijana
 
Back
Top Bottom