Kila mtu na bahati yake labda bahati inaweza kuangukia kwako ,nimetafuta sana humu ndani mchumba hadi sasa bila bila hakuna kitu.
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
1.Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea mana sipendi kuwa na msichana mwenye mambo ya utoto utoto.
2.Rangi yeyote iwe nyeusi au nyeupe ila sio weupe wa kujichubua.
3.Akiwa na chura itapendeza zaidi
4.Elimu kuanzia form four na kuendelea
5.Akiwa mkristo itakua poa zaidi
6.Kama anajishughulisha na shughuli halali ya kumuingizia kipato itakua poa zaidi ila hata kama hana ajira hainizuii mimi kuwa na yeye.
7.Asiwe mwembamba sana, awe na mwili wa wastani na urefu wa kawaida.
8.Awe mkoa wa Dar es salaam
SIFA ZANGU:-
1.Mweupe wa kawaida sio kama papai bichi
2.Ni mrefu na nina mwili wa wastani (urefu wa kawaida sio kama wale wacheza basketball)
3.Dini yangu ni mkristo
4.Naishi Dar es salaam
Kama upo serious njoo inbox tuyajenge
Kujiunga jumamosi sio kigezo nipo siku nyingi humu ndaniumejiunga jumamosi halafu umetafuta sana hehehe au umesahau kuwa una ID mpya mkuu...?? ndo maana hupati maana wewe unajibadili sana.
Tangazo mbona nimesha liweka?ina maana warembo hamlioni? Itabidi niweke wasifu wangu niki ambatanisha na picha.Weka tangazo lako na wewe mbona unadandia tangazo la mwenzio?
hata mimi nimelibaini hilo mkuu, kwa hiyo ID zako nyingine ni zipi?Kujiunga jumamosi sio kigezo nipo siku nyingi humu ndani
Picha kuweka hapa ni ngumumkuu hapo kwenye sifa zako ungebandika tu picha yako ingependeza sana.
uliza jamaa humu jinsi ya kuweka wakuelekeze.Picha kuweka hapa ni ngumu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa mkuu inabidi nirudi tu kwa mdau huyo hapo juu nimuombe radhi tuyajenge
HV umeamuaje mwaka huu siitwi WiFi?Vipi kijana hakufai huyo?
Unatukana wakunga sio huku una mimba changaMiss unanicheka mwenzio
Una maana miaka yote ulikuwa huitwi wifi hadi mwaka huu?HV umeamuaje mwaka huu siitwi WiFi?
Sina brother mwingine zaidi yakoUna maana miaka yote ulikuwa huitwi wifi hadi mwaka huu?
[emoji23] [emoji23] yamenikutaUnatukana wakunga sio huku una mimba changa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] usimtukane mamba kabla hujavuka mtoSawa mkuu inabidi nirudi tu kwa mdau huyo hapo juu nimuombe radhi tuyajenge
Leo ndio nimeielewa hiyo methali mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] usimtukane mamba kabla hujavuka mto
Ahahahaaaaaa uwiii mechoka kutafuta dia, nimepumzika now [emoji26][emoji26]