Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

not

Member
Joined
Dec 15, 2017
Posts
62
Reaction score
25
Habarini za kazi wana JamiiForums,

Bila kupoteza muda naomba kutiririka moja kwa moja, hoja yangu iliyopelekea kuandaa uzi huu.

Kwanza nianze kwa kusema nawapenda sana tena toka moyoni JamiiForums ni sehemu pekee ya kutatua matatizo ya walio wengi hvyo basi naomba kutatuliwa tatzo langu.

Kwa kuwa nina miaka 38 tayari naweza kujitegemea, kwa kauli hii tayari yanipasa kuwa na mtu ambaye anaitwa hawa mke).

Kwa sasa hivi ni tofauti kabisa na zamani, kulikuwa na utaratibu wa kuoana na mwanamke ambaye unafahamu familia yao kuanzia tabia hadi.

Ni mtizamo mzuri sana kwa enzi zile lakini sasa hivi imekuwa tofauti sana, wadada walio wengi hawapendi kuolewa kwa kile wanachokidai kukosa uhuru wa kufanya mambo yao.

Swali langu ni mambo gani wanayafanya kwa uhuru bila kuwa na wanaume? Jibu kila mmoja analo.

Anyaway nasema hivi mwanadada ambaye yuko tayari kuwa na mimi ani PM lakini kuna sifa anazotakiwa kuwa nazo kama ifuatavyo;

Q) Awe mfanya kazi wa serikali/ kampuni/ biashara.

b) Rangi yoyote napenda.

C)Awe na mwili wa wastani, asiwe bonge sana, asiwe mwembamba sana.

d) Urefu wake wa wastani lakini hatakuwa ana sifa endapo atakuwa mfupi sana.

e) Awe ajichubui (cream)

f) Sipendi wings (nywele bandia)

Kutokana na sifa hapo juu kama kuna mwenye nazo njoo PM. Kama umewahi kuolewa na ukaachika taraka mhimu sana. Sitabagua kabila wala dini.


Sifa zangu ni kama ifuatavyo;
1) Elimu ya juu

2) Nifanya kazi kwenye kampuni la kimisri

3) Mwembamba

4) Mrefu wastani

5) Sura mbaya kiasi.

6) Sina nyumba.

7) Nina mtoto mmoja.

Kwa aliyetayari karibu PM acha namba yako nitakucheki, niko DSM kwa sasa, baada ya siku tatu nitakuwa nje ya nchi.


Take it serious.
 
ndio hivyo wachumba wengi wanaangalia umekaaje kifedha.
Sawa nayeye si anzo za kwake ndo maana nikatoa sifa ya kwanza ni kipato chake...mkuuu najua mambo yote hayo ndo maana nikaweka hyo sifa
 
pamoja n exposure yote hiyo hujapata bado??, unazingua.
 
Habarini za kazi wanajamiiforum.

Bila kupoteza muda naomba kutililika moja kwa moja hoja yangu iliyopelekea kuandaa uzi huu.
.
.
Kwanza nianze kwa kusema nawapenda sana...tena toka moyoni.Jamiiforum ni sehemu pekee ya kutatua matatzo ya walio wengi hvyo basi naomba kutatuliwa tatzo langu...
.
.
.
Kwa kuwa nina miaka 38 tayari naweza kujitegemea...kwa kauli hii tayari yanipasa kuwa na mtu ambaye anaitwa hawa( mke).
.
.
.
Kwa sasa hv ni tofauti kabisa na zamani..kulikuwa na utaratbu wa kuoana na mwanamke ambaye unafahamu famili yao kuanzia tabia hadi...
.
.
.
Ni mtizamo mzuri sana kwa enzi zile lakn sasa hv imekuwa tofauti sana...wadada walio wengi hawapendi kuolewa kwa kile wanachokidai kukosa uhuru wa kufanya mambo yao... swali langu ni mambo gani wanayafanya kwa uhuru bila kuwa na wanaume? Jibu kila mmoja analo..
.
.
.
Anyaway nasema hivi mwanadada ambaye yuko tayri kuwa na mimi ani PM lakini kuna sifa anazotakiwa kuwa nazo kama ifuatavyo;

Q) Awe mfanya kaz wa serikali/ kampuni/ biashara

b)Rangi yoyote napenda

C)Awe na mwili wa wastani..asiwe bonge sana a asiwe mwembamba sana

d)urefu wake wa wastani lkn hatakuw ana sifa endapo atakuwa mfupi sana.

e) awe bajichubui(cream)

f)sipendi wings( nywele bandia)

Kutokana na sifa hapo juu kama kuna mwenye nazo njoo PM.kama umewahi kuolewa na ukaachika taraka mhimu sana. Sitabagua kabila wala dini...


Sifa zangu ni kama ifuatavyo;
1).elimu ya juu

2)nifanya kazi kwenye kampuni la kimisri

3)mwembamba

4)mrefu wastani

5) sura mbaya kiasi.

6) sina nyumba

7) nina mtoto mmoja


Kwa laiyetayar karibu pm acha namba yako nitakucheki..niko dsm kwa sasa.....baada ya siku tatu nitakuwa nje ya nchi...



take it serious.
Mkuu apo uliposema mrefu naamini utapata
 
Back
Top Bottom