- Thread starter
- #21
Sawa dadautapata tu usijal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa dadautapata tu usijal
Sante kwa kulike...Sawa dada
Sawa baba swaleheSifa zote hizo nenda tu ulaya ndugu huku bongo hakuna !![emoji124] [emoji26]
Zilipendwa na hutajibiwa...njoo inbox uolewe tuMiaka 38 ujajenga kwa nini na unafanya kazi? Assume umemaliza chuo na miaka 25 so ulikua unafanya nini kwa miaka 13? Are you investing your money in other business?
SAMAHANI KAMA NITAKUKWAZA KWA SWALI LANGU.
Sawa ila namuonea huruma unayetaka kumuoa.... We inaelekea ni empty set na mkorofi....Zilipendwa na hutajibiwa...njoo inbox uolewe tu
Pole dadako simtak pia maana huenda mkorofi kama wewSawa ila namuonea huruma unayetaka kumuoa.... We inaelekea ni empty set na mkorofi....
Asante mkuuUtapata haja ya moyo wako Mungu ni mwema, wapo waliotafuta humu na wanafanikiwa
Polee sana mkuu sifa zimepeleaTatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
Njoo Pm nikuone kwanza...jiamini tu unaweza ukawa ndo hawa wangu......njooo usiogope njoo pmTatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
Njoo Pm nikuone kwanza...jiamini tu unaweza ukawa ndo hawa wangu......njooo usiogope njoo pmTatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
Ongezea mkuuPolee sana mkuu sifa zimepelea
Mi nnazo NahujaUna hela nyingi?
Siwez kumuongezeaOngezea mkuu
Poa nitapata mzee mwenzanguUshamaliza dada zetu ndio unatoa tangazo! Ushakua mhenga tafuta mhenga mwenzako
hahahahaUna hela nyingi?