Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Sifa zote hizo nenda tu ulaya ndugu huku bongo hakuna !![emoji124] [emoji26]
 
Miaka 38 ujajenga kwa nini na unafanya kazi? Assume umemaliza chuo na miaka 25 so ulikua unafanya nini kwa miaka 13? Are you investing your money in other business?
SAMAHANI KAMA NITAKUKWAZA KWA SWALI LANGU.
 
Miaka 38 ujajenga kwa nini na unafanya kazi? Assume umemaliza chuo na miaka 25 so ulikua unafanya nini kwa miaka 13? Are you investing your money in other business?
SAMAHANI KAMA NITAKUKWAZA KWA SWALI LANGU.
Zilipendwa na hutajibiwa...njoo inbox uolewe tu
 
Utapata haja ya moyo wako Mungu ni mwema, wapo waliotafuta humu na wanafanikiwa
 
Tatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
 
Tatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
Njoo Pm nikuone kwanza...jiamini tu unaweza ukawa ndo hawa wangu......njooo usiogope njoo pm
 
Tatizo ni hyo mtoto..alafu mimi napenda mawig..[emoji23][emoji23] ufupi sasa
Njoo Pm nikuone kwanza...jiamini tu unaweza ukawa ndo hawa wangu......njooo usiogope njoo pm
 
Back
Top Bottom