babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Warning!
teh teh,sawa mkuu unamuona huyo mama ninii nyuma yako lakini,usiniite kesho kwenye kikao cha usuluhishi,we lala na cheusi tu.:whoo:Basi wacha nilale na cheusi wangu sasa....dah kwa hiyo tu....sio mchezo....Rev Masa remains to be the only rev here..
Mimi ndo nilipatia, sema kilichonipata baada ya hapo....:embarrassed:
Kwanza upo DOBO, aklafu nimekuona HUNIFAI!!! kumbe unamuangalia mwanaume kwa jisi na raba?? nenda kwa Mh sugu....
Mie nikadhani na wee wampenda kumbe...............
we ukimweka ndani mtoto kama huyu nani atalima viazi kule milimani,shauri yako bana usiseme hatukukwambia:teeth:Thubutu ,tunaaminiana wala sina wasiwasi kuleni kwa macho ni namweka ndani.
Basi wacha nilale na cheusi wangu sasa....dah kwa hiyo tu....sio mchezo....Rev Masa remains to be the only rev here..
Upo CHADEMA? LOL
Thubutu ,tunaaminiana wala sina wasiwasi kuleni kwa macho ni namweka ndani.
GFM ushindwe,mbona unajaribu kuharibu kazi aliyoianzisha 'roho'.
nipo d,ndio nimeingia tu hapa mda huu nikaona nikuchek kidogo:love:Bk yaani muda si mrefu ilikua nikuulizie hapa ndo mara nakuona wangu.
Rrrrrrrrrrright man I am out............. sijui nanihii wangu yuko wapi ....hajaam bado.............ngoja nipige chabo!
we ukimweka ndani mtoto kama huyu nani atalima viazi kule milimani,shauri yako bana usiseme hatukukwambia:teeth:
niweke ndani nahitaji kuanza family sasa.ndo kilichobaki.niweke ndani niko tayari.
nipo d,ndio nimeingia tu hapa mda huu nikaona nikuchek kidogo:love:
ha ha ha haa,mkuu nimecheka mpaka mtu wa pembeni kauliza unacheka na kompyuta doh.Mikono ile ilionishika bega ndotoni wacha kulima hata kufua hajiawahi.
ok usijali d ungetwanga tu,muda huo nilikua nakula ndombolo zangu tartiibu.si unajua mambo ya system?umecheki ile kitu?poa d,nilitaka kukutwangia,nikajishutia,late.
Mikono ile ilionishika bega ndotoni wacha kulima hata kufua hajiawahi.
aah wapi huyu na bito yake ata ukimuuliza VOGUE ni nini anaweza kukwambia ni jimeli fulani kuubwa huko ughaibuni linaloweza beba dunia nzima.ujue kashindwa huko kwenye vogueJuzikati si ulikuwa unafukuzia Yaeda chini ? au hauna Vouge nyeusi ?
Naanza maandalizi usihofu mwaka 2011 utakukuta ndani ya nyumba yetu na nimeota tutazaa mapacha.
ok usijali d ungetwanga tu,muda huo nilikua nakula ndombolo zangu tartiibu.si unajua mambo ya system?umecheki ile kitu?