natafuta mchumba,,,,,


Mwanamke mwema utamjua tu kwa maneno yake,ukiumwa nitafua mimi wala usihofu sweety.
 
Mwanamke mwema utamjua tu kwa maneno yake,ukiumwa nitafua mimi wala usihofu sweety.

thanks baby,mume mwema utamjua tu kwa kauli zake za kujali.kwa kweli ndoa yetu itakua paradiso. i cant wait.😛arty::whoo:
 
ha ha ha haa,mkuu nimecheka mpaka mtu wa pembeni kauliza unacheka na kompyuta doh.

Ukicheka ndio furaha yangu najua nimekuongezea siku.

aah wapi huyu na bito yake ata ukimuuliza VOGUE ni nini anaweza kukwambia ni jimeli fulani kuubwa huko ughaibuni linaloweza beba dunia nzima.ujue kashindwa huko kwenye vogue

Sasa kama kashindwa huko asiharibu hapa,cheusi wangu hajaniuliza kama na hata baiskeli.

ninavyopenda mapacha,wangapi?nahisi wa kike wote,tukishapata hao wawili si basi eeh.?maisha yangu yanachanua kwa furaha.

Watoto wawili wanatosha dear tunahitaji muda wa sisi wawili au sio ?
 
ingieni naninihii basi na sie tupate lau nafasi :bored:

penzi ni kikohozi hata nikijaribu kujizuia hadharani siwezi.watu wawili wakipendana kikweli hata jua la bongo hupunguza makali yake.
 
penzi ni kikohozi hata nikijaribu kujizuia hadharani siwezi.watu wawili wakipendana kikweli hata jua la bongo hupunguza makali yake.
Ndio maana nimeanza kuhisi kaubaridi nini? ngoja mkajipatie ka-valuer kule................
 
sawa kabisa dear.

Mpenzi naenda kulala nimefarijika kukufahamu,sweet dreams kesho nahitajika kazini bosi ni mama mmoja mkali sana naona hapati chakula cha usiku.:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
 
Ndio maana nimeanza kuhisi kaubaridi nini? ngoja mkajipatie ka-valuer kule................

sisi hapa hata hatusikii baridi,si unajua tena,ningekupa siri lkn mzee hapa kanikataza.
 
Mpenzi naenda kulala nimefarijika kukufahamu,sweet dreams kesho nahitajika kazini bosi ni mama mmoja mkali sana naona hapati chakula cha usiku.:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.

:juggle::juggle:
 
Mpenzi naenda kulala nimefarijika kukufahamu,sweet dreams kesho nahitajika kazini bosi ni mama mmoja mkali sana naona hapati chakula cha usiku.:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.

sawa my dear,kalale salama.Mungu akulinde.Akuamshe salama.Huyo mama nitamuweka ktk maombi mpenzi.Na mie nikalale au unaniruhusu niendelee kuwepo hapa kidogo sbb baso sina usingizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…