Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Hebu cheusi wangu cheki vizuri hiyo data sheet yako ya maono!hebu niambie, nipo angalau kwenye at least the best 10?
nakuzngatia...
we mbwela mbwela tu....UYOGA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu cheusi wangu cheki vizuri hiyo data sheet yako ya maono!hebu niambie, nipo angalau kwenye at least the best 10?
nakuzngatia...
we mbwela mbwela tu....UYOGA.
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Nadhani mafataki Kimey, Roya, The Finest, Generation Y, Kaizer, Acid,Teamo, Fidel, Bigirita et al wamekusoma vizuri.
Ni babu tu amebakia, ni babu tu kumlea mchumba.
The Following User Says Thank You to cheusimangala For This Useful Post:
Asprin (Today)
Usisahau kurudi kule kwenye umiliki wa matiti
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Katika hali kama hii, tafuta mtakatifu yeyote akusaidie kufanya maombi....
Babu hebu soma hapa chini.....
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
babu ntafsirie,kwa nini 'roho' alivyofikia ktk jina la kaizer akatikisa kichwa,sikumuelewa anamaanisha nini,labda wewe babu unaweza kuntafsiria.
Na huo uchumba, nani atakuwa mmiliki halali wa matiti ya Cheusie?
mtu yeyote akimuona mpakwa mafuta wa bwana Rev. Masa amwambie namtafuta huku ktk shughuli za kiroho.
nakuzngatia...
we mbwela mbwela tu....UYOGA.
nimekupa namba yangu nasisitiza tuwasiliane!
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
sorry,nilikuwa napita tu huku mama!ndo cheusi akaniita anitume!!!!!!!