natafuta mchumba,,,,,

Hebu cheusi wangu cheki vizuri hiyo data sheet yako ya maono!hebu niambie, nipo angalau kwenye at least the best 10?

nakuzngatia...
we mbwela mbwela tu....UYOGA.
 

Pole kwa kutokumuona sura, ila Sheik Yahya Hussein anaweza akakusaidia ila kuwa nae makini anaweza akasema umemwota yeye.
 

babu ntafsirie,kwa nini 'roho' alivyofikia ktk jina la kaizer akatikisa kichwa,sikumuelewa anamaanisha nini,labda wewe babu unaweza kuntafsiria.
 
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 

Hiyo ndoto ilipotoka kwako ikaamia kwangu bila shaka ni wewe wala usiangaike kuumiza kichwa kama vipi ni PM
 
Katika hali kama hii, tafuta mtakatifu yeyote akusaidie kufanya maombi....

mtu yeyote akimuona mpakwa mafuta wa bwana Rev. Masa amwambie namtafuta huku ktk shughuli za kiroho.
 
babu ntafsirie,kwa nini 'roho' alivyofikia ktk jina la kaizer akatikisa kichwa,sikumuelewa anamaanisha nini,labda wewe babu unaweza kuntafsiria.

Mwenyekiti hajadiliwi, katiba imebainisha wazi.
 
Na huo uchumba, nani atakuwa mmiliki halali wa matiti ya Cheusie?

roho kasema sbb yameumbwa kwa ubavu wa huyo mwenza wangu,tutashirikiana kuyamiliki eti.mie mwanzo nilizani ni mali yangu pekee,roho kanichanganya hapo.
 
mtu yeyote akimuona mpakwa mafuta wa bwana Rev. Masa amwambie namtafuta huku ktk shughuli za kiroho.

Yule sio mtakatifu....tafuta mwingine...kumbuka sio viongozi wote wa kiroho ni watakatifu...
 

Kama Nebukadneza vile ndoto ni ndoto tu ila kama nimaono huna haja ya kumtafuta huyo mchumba, kwani utakutanishwa nae kama ulivyoona.
 

Angalia asije akawa roho wa kuzimu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…