cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
- Thread starter
- #61
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
babu ntafsirie,kwa nini 'roho' alivyofikia ktk jina la kaizer akatikisa kichwa,sikumuelewa anamaanisha nini,labda wewe babu unaweza kuntafsiria.
Mwenyekiti hajadiliwi, katiba imebainisha wazi.
sorry,nilikuwa napita tu huku mama!ndo cheusi akaniita anitume!!!!!!!
Hiyo ndoto ilipotoka kwako ikaamia kwangu bila shaka ni wewe wala usiangaike kuumiza kichwa kama vipi ni PM
:A S-alert1::A S-rose:
Kitakuwa kimeo hiki...
kumbe ndo maana yake hiyo.asante babu.
Na mimi niliota kitu kama hichohicho!tafadhali naomba namba yako ya simu!!
Na Tazama, namtuma mjumbe wangu, Mwenyekiti, :A S crown-1: atakaye'mponya' Cheusimangala'......kila bonde litajazwa, na vilima kusawazishwa.......shoka lishatiwa kwenye mpini.....ole wake ambaye anaenda kinyume na maono ya Cheusimangala....ni heri mtu huyo asingezaliwa na mwanamke.....:shut-mouth::A S-frusty:😛ainkiller:
Katika hali kama hii, tafuta mtakatifu yeyote akusaidie kufanya maombi....
lkn roho alisema kila kitu kitafanyika hapa jukwaani na sio chemba PM.
We mwanamke vipi hata ndoa tutafungia hapa hapa jukwaani? Kama vipi nipe phone no yako!
Utampata mtakavitu (na wengi wenye upako huu ni wanaume) na mtaendesha pamoja nae maombi ya kufunga na kuomba sehemu tulivu wakati wa usiku kukiwa hakuna makelele ili ku concetrate kwenye maombi ya ndani. Baada ya mtu utamfahamu aliye wako
Angalizo: Ukiingia kwenye maombi lazima uwe tayari kukubaliana na majibu ya aina yoyote ya maombi yako, kwa Mungu hakuna rufaa.
huitaji kuwa na hasira my dear,kwanza wewe si ulisema una mchumba wako anaitwa Rose,sasa inakuaje,ujue kweli mie natafuta mchumba,niko serious lkn wewe si tayari unaye mtu.
NiPm kwa mawasiliano zaidi niko serious sanaroho kaniambia wewe babu utahusika kuhakikisha 'mafataki'hawachakachui maono.
Wewe mrembo me nipo serious sema wewe hujiamini rose wa wapi tena?
Zali la mentali limenidondokea na watu wote wamebaki namshangao