natafuta mchumba,,,,,

natafuta mchumba,,,,,

Ati anaomba na wewe umtumi ya kwako lakini uwe umeipiga kwa nyuma.....................
mjumbe hauwawi............LOL

Bro mbona unataka kuniharibia ? mi nilishamuona kwenye ndoto na kakubali kufanana na huyo wa ndotoni sihitaji picha hata nikimuona gizani namfahamu.
 
hapo ndo umenichanganya,sasa wewe ndo ulipatia kama Daniel au wewe ndiye aliyevaa 4 angle na shati la kitenge.
napata hisia kuwa u buheri wa afya.


Mimi ndo nilipatia, sema kilichonipata baada ya hapo....:embarrassed:
 
Ati anaomba na wewe umtumi ya kwako lakini uwe umeipiga kwa nyuma.....................
mjumbe hauwawi............LOL

Bro mbona unataka kuniharibia ? mi nilishamuona kwenye ndoto na kakubali kufanana na huyo wa ndotoni sihitaji picha hata nikimuona gizani namfahamu.


Basi, laleni....kila kitu kwa kiasi.....lol
 
Ati anaomba na wewe umtumi ya kwako lakini uwe umeipiga kwa nyuma.....................
mjumbe hauwawi............LOL

hiyo picha yakupigwa kinyume nyume sijui utakua unataka kuipeleka wapi sababu Uporoto keshaoneshwa jinsi nilivyo nyumba mbela na pembeni,hivyo haitaji picha.yeye tu ndo kapenda kunitumia kama ishara ya kuchipua kwa penzi letu.una la zaidi?
 
Bro mbona unataka kuniharibia ? mi nilishamuona kwenye ndoto na kakubali kufanana na huyo wa ndotoni sihitaji picha hata nikimuona gizani namfahamu.

hawezi kuharibu kitu,kilichoanzia kwenye maono mwanadamu hawezi kukitenganisha.
 
sio wote wasemao Bwana bwana watauona ufalme wa Mungu...watafsiri wote waliomtafsiria mfalme nebukadreza ndoto yake waliuawa isipokuwa Danieli aliyepatia....MIMI HAPA>>.
hahahaa,mkuu una-addopt cheo cha rev masa??haya bana nakupasia glass hiyo Giant_Beer_Glass.jpg
 
Kaizer halali mtu hapa si unaona wanataka kuni-Slaa hapa baada ya mimi na Cheusi wangu kuafikiana.

asante kwa photo,umependeza zaidi ya nilivyokuona ktk maono.namshukuru 'roho',anajua kuchagua.
 
hiyo picha yakupigwa kinyume nyume sijui utakua unataka kuipeleka wapi sababu Uporoto keshaoneshwa jinsi nilivyo nyumba mbela na pembeni,hivyo haitaji picha.yeye tu ndo kapenda kunitumia kama ishara ya kuchipua kwa penzi letu.una la zaidi?

Wera wera! WAAATU PEEEOOOPLE!
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL

Kwanza upo DOBO, aklafu nimekuona HUNIFAI!!! kumbe unamuangalia mwanaume kwa jisi na raba?? nenda kwa Mh sugu....
 
hiyo picha yakupigwa kinyume nyume sijui utakua unataka kuipeleka wapi sababu Uporoto keshaoneshwa jinsi nilivyo nyumba mbela na pembeni,hivyo haitaji picha.yeye tu ndo kapenda kunitumia kama ishara ya kuchipua kwa penzi letu.una la zaidi?
Mie nikadhani na wee wampenda kumbe...............
 
Basi wacha nilale na cheusi wangu sasa....dah kwa hiyo tu....sio mchezo....Rev Masa remains to be the only rev here..

Thubutu ,tunaaminiana wala sina wasiwasi kuleni kwa macho ni namweka ndani.
 
We Denzel look-alike just let it go man mbona wako wengi tu hata hapa JF unakaba hata penalty ?
Rrrrrrrrrrright man I am out............. sijui nanihii wangu yuko wapi ....hajaam bado.............ngoja nipige chabo!
 
Back
Top Bottom