Natafuta Mdada/Binti wa kazi Smart Mwenye Elimu Kuanzia Form 4 kwa ajili ya kazi ya duka

Natafuta Mdada/Binti wa kazi Smart Mwenye Elimu Kuanzia Form 4 kwa ajili ya kazi ya duka

Nikija hapo dukani Ni kuiba na kusepa tu [emoji23]
Mshahara unashawishi kuibiwa. Walinzi wengi magodauni huko wanageujaga kuwa wezi. Mlinz anashirkiana na wezi kukuibia ...

Imagine mtu analipwa laki na 20 au 50 mwez mzima anaishi vipi na ana familia?. Kwa nn asiibe?
 
Back
Top Bottom