Natafuta mdada wa kazi ambaye anaishi kwa kunyanyasika alipo kwa sasa

Natafuta mdada wa kazi ambaye anaishi kwa kunyanyasika alipo kwa sasa

Muongeze Hata Kidogo Hapo Fanya Hata 100K Gharama Za Maisha Zimepanda
Anajitegemea kila kitu au bado chakula na maradhi kwa mwajiri????

Maana mimi beki tatu namhudumia kama mwanangu

Muda mwingi analala maana kazi sio nyingi

Jana nimemruhusu akatembelee ndugu zake pia baadhi ya siku nampa elf kumi kumi kwa ajili ya matumizi yake madogo madogo kama vocha na n.k.
Mwenyewe anatupendaaa mimi na waifu
Huyu hajawahi kufanya kazi za ndani hata kupika baadhi ya vyakula hajui na anavyovijua kafundishwa na waifu

Kifupi tunamjari sana na nimemwambia chochote atakachohitaji atuambie tutamsaidia kama itakuwa ndani ya uwezo wetu

Ila akijifanya mjanja ID yangu itafanya kazi
 
Wadada wanaonyanyasika kwa mabosi zao ndiyo madada ambao hudumu kwa maboss zao kwasababu sisi binadamu tunapenda kuona mtu anapata tabu kwa hiyo hapo maneno maneno huwa hakuna Wala wakumdanganya hakuna lkn mdada aneishi vizuri na boss wake huwa hawakii maana watu hatupendi kuona mtu anaishi vizuri lazima watampa maneno na kumlagai hili tu atoke akapate tabu.
 
Kama ni 60 basi ingine mwekee kwa ajiili ya kumpa kuanzia maisha
 
Back
Top Bottom