Shemasi 3rd
Member
- Jun 1, 2024
- 98
- 104
- Thread starter
-
- #41
Sério irmão, pegue esse e pratique maisOi!, parece como temos os três idiomas em comun os que falamos eu e você , Tambem eu aprendi Espanhol, Português e Francês. Se não se importa podemos nos ligar na google-meet ou zoom pra fazer alguns praticos??.
Sir MidabwadaWhat are those deliverables you expect to receive from him/er
How much you will pay
What are the key responsibilities
Asante sana 🙏Kila la kheri mkuu
Shida hataki kurekebishwa..🤔Develolopment
Kama title ya kitabu tu Ina typing errors, je ndani..?!
Sasa arekebishe kitu sahihi kisa hujaelewa?Shida hataki kurekebishwa..🤔
kejeri ni nini?Kwamba bila manager sitoboi hioni kama ni kejeri? Ndio maana nimekuita mjuaji fanya uchunguzi kabla hujasema au kufanya jambo..
Shemasi kaandika Greek😄Kuna typing errors kwenye Covers za vitabu vyako! Angalia tena! Eg; POLITICS umeandika POLTICS na YOUTH umeaandika YOUITH..
Uwe makini..
😂kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
Amesoma kwenye cover neno Poltics akafikia hitimisho umekosea kumbe hajasoma ndani unamaana gani kutumia neno hilo.Kabla huja comment jiridhishe sana mkuu najua nacho kifanya mbaka nafikia level ya U shemasi sijarushwa tu nimepitia hatua zote. So hakuna Typing error hapo Asante.
Real??Hapana SIO typing error HIO ni new version of english established in 2000
Doesn't mean that way...Don't judge book by it's cover!!....
Unafikiri kuandika vitabu ni kama kununua nyanya! Lazima kitabu kifanyiwe review ili kama kuna makosa yarekebishwe!Sasa arekebishe kitu sahihi kisa hujaelewa?
Sisi watanzania kila kitu huwa tunakujua ndg😁Amesoma kwenye cover neno Poltics akafikia hitimisho umekosea kumbe hajasoma ndani unamaana gani kutumia neno hilo.
Watanzania ndiyo tulivyo ..😃
Amekisia ulicho andika ndani ya kitabu.
Exactly 💯 hakuna typing errorsReal??
Duuuh😃Mtafute Babu tale 🤗
Ndg nirekebishe sehem ambayo haina makosa? Mbona ujuaji mwing...i uliza ina maana ganiShida hataki kurekebishwa..🤔
Ushaambiwa hakuna typing error ww unalazimisha au una tatizo lingine?Doesn't mean that way...