Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Rakashanda lababa rikalendebobobobob tutashinda na mbengo zitafungukaaaaaMtafute mtumishi wa Mungu akusaidie kukuombea.
cc Rabbon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rakashanda lababa rikalendebobobobob tutashinda na mbengo zitafungukaaaaaMtafute mtumishi wa Mungu akusaidie kukuombea.
cc Rabbon
Mwache aendee....ukipata usisite kutuletea mrejesho namimi niende,,atajuta kenge yule,namrudisha then nalipiza 😫😫
Ni Mungu wa Mbingu na Nchi ni kiboko ya Waganga wote.Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano.. Malipo ni baada ya kazi
namwacha aende akiteseka anaendaje kirahisi ivo 😫Mwache aendee....
kwamba mambo tayari 🙄Njoo Pm😂
Hii mpya ndo naisikia leo. Tupe formula hiyo na sisi tujueNipo hapa
Niandalie
*Ule mti ambao umeanguka kutoka mdomoni mwa mwewe...
*Kijiti kutoka Mti uitwao MZIMA na ukilaze Juu ya KABURI kwa usiku mmoja.
*Mjusi wale wanao kaaga ndani mkamate mmoja
Ukipata vitu vitatu tajwa hapo juu utanambia nikupe formula mkuu
Kipo kitakachokuja kumtesaanamwacha aende akiteseka anaendaje kirahisi ivo 😫
kinini kitamtesa sasa?Kipo kitakachokuja kumtesaa
Wacha apambane aisee 😂 😂 😂KAMA HAKUTAKI HAKUTAKI TU MKUU.
Mambo ni mengi sana, unampenda bado?kinini kitamtesa sasa?
Mambo ni mengi sana, unampenda bado?
🤣😂😂😂 Basi achana nayesimpendi