Natafuta mganga konki wa kurejesha Mahusiano

Natafuta mganga konki wa kurejesha Mahusiano

Kama unaweza kupata kambale ambaye amevuliwa siku hiyo hiyo njoo nikupe formula.
Uhakika
 
Mimi natafuta mwanamke kama wewe,achana na hizo mambo mganga mwenyewe ana matatizzo kama yako,cha msingi njoo pm uwe wangu milele
 
😂😂😂😂Mwaka wa kufosi huu jmn maisha magumu
 
Hii mpya ndo naisikia leo. Tupe formula hiyo na sisi tujue
Enchantment zipo na zinafanyaga kazi hata formula juu Ina work out..............

Tatizo Ni moja TU mapenzi ya dawa (ulozi) mwisho wake huwaga Ni mbaya Sanaa

So wasiwasi wangu isije tokea MTU akatekeleza formula then aje anilaumu later..
 
Mimi ntakupa mbinu

Kwanza ukubaliane na masharti ukiweza masharti basi uhakika.

Kama ni KE au ME tukimrudisha kwa nguvu atakupenda Sana Ila itakuwa kama umepasha chakula katika microwave yaaani ile ladha ya asili itapotea .

Hivyo tutashusha layer zake tumtafute akipatokina tunamroga.

Nb kumloga mtu ili akupende hifai na unakuwa umempumbaza fikra.

So kuwa makini kabla hujafanya hayo maamuzi maana ukiloga mtu na wewe unalogeka tayari maana nyote mnakuwa tayari mna layer za chini
 
Back
Top Bottom