Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Umeachika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganga pekee ni Yesu Kristo mnazareti aliyekufa siku ya tatu akafufuka huyu ndo mganga pekee anayeweza kurudisha mawasiliano yako kwingine hakuna kitu utaliwa pesa yako tuuNatafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.
Niloge basi hadi akili inikae sawa sweetheart...Wamekupora au alienda mwenyewe kwa ufahamu wake???
Ungesimulia kidogo ilikuaje mpaka akaenda ukute wewe ndio ulikua tatizo!
Au haijalishi fita ni fita???
Anyways kila la katika kumrejesha mpenzio
Cc Smart911
Duh aisee 🤔Nipo hapa
Niandalie
*Ule mti ambao umeanguka kutoka mdomoni mwa mwewe...
*Kijiti kutoka Mti uitwao MZIMA na ukilaze Juu ya KABURI kwa usiku mmoja.
*Mjusi wale wanao kaaga ndani mkamate mmoja
Ukipata vitu vitatu tajwa hapo juu utanambia nikupe formula mkuu
Dawa ya kwanza uwe na pesa ya kutosha, ya pili usiwe limbukeni wa mapenzihello
wee kweli kiazi mbatataMshana Jr
smart alivyo kuacha ulienda kwamganga gani kumrudisha?Wamekupora au alienda mwenyewe kwa ufahamu wake???
Ungesimulia kidogo ilikuaje mpaka akaenda ukute wewe ndio ulikua tatizo!
Au haijalishi fita ni fita???
Anyways kila la katika kumrejesha mpenzio
Cc Smart911
Ili uwachukize watoto wa kichaga jaribu hii!Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.