makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ni kosa kubwa kucheka mganga akitoa comment yake.. Mizimu itakumemena.
Maya ahesabie tatizo limekwisha.. Ni yeye tu kufika kilingeni, tumpige mtu zing zong.He he he...
Hebu msaidie kwanza Maya
Mimi hiyo mizimu na hainipati[emoji2]
Kazi ndooogo saana hiyo kwangu. Nipo mganga toka pemba hapa.Kama ukipata mganga wa uhakika kaloge mwaya... akikusaidia na mimi uniambie nikamloge mzabzab apunguze mademu wote awaone kama dad's zake tu
Haya daktare wa magonjwa suguKazi ndooogo saana hiyo kwangu. Nipo mganga toka pemba hapa.
Uje tu tutie dawa huko kwa bibi, uwe unaitikia tawire wakati dawa inakuingia.. Huyo kibuzi chako akija kuchovya tuu kanasa. Hapo kwako hatosikia la muadhini wala mnadi swalaHaya daktare wa magonjwa sugu
Jaman wwUje tu tutie dawa huko kwa bibi, uwe unaitikia tawire wakati dawa inakuingia.. Huyo kibuzi chako akija kuchovya tuu kanasa. Hapo kwako hatosikia la muadhini wala mnadi swala
Hutaki dawa sasa? Ama unataka umpoteze mzabzabJaman ww
Acha basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuu wee si ndo kibokooo.Mjukuu na mimi Naomba
Njoo PM dea sahivi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wananichosha mtu nipo na lengo langu hawa vipi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Naongeza ujuzii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuu wee si ndo kibokooo.
Mmmh, kweli mkuu umechafukwa! Una kifua lakini cha kukabili mambo? Mambo ni mazitoooo!
Jamaa king'ang'anizi kama lubaAna shida sana huyo kiumbe,inawezekana ni mwanamke mwenzetu,nimepiga block sioni takataka zake tena,nilichelewa ningempa block mapema
Hili swali niliwahi kuulizwa na Mr. TANU! Unataka tumpoteze kabisa au kumtesa tu?[emoji16][emoji16][emoji16]
Eehh.. Maajabu haya mganga agangwe tena..Labda dawa nkufanyie wewe uache macho juu 😜
Nafikiri hvyo mm mwenywe Ni hasira tu zilinipelekea kuwafikiriaVita ya nguvu za giza ni mbaya sana, ikitokea umemkosakosa akafight back basi lazima mmoja wenu achungulie kaburi au ateketeze uzao wake.
Isije kuwa ni hasira tu zinakusukuma hivyo zikiisha ukajutia.
Una roho mbaya wee siku hizi, nakuzoom tyuuh.Naongeza ujuzii
Basi ngoja nikufuate inbox!Kifua nnacho cha kuhimili hayo mazito,ukiingia vitani lazima uwe na kifua boss
Nikajibu kumpoteza kabisa!😁😁Ukajibuje?[emoji3]
Sasa mpaka unisimange hapa mjukuu kila mtu ajue..[emoji17]Una roho mbaya wee siku hizi, nakuzoom tyuuh.