Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
lol
Ni kosa kubwa kucheka mganga akitoa comment yake.. Mizimu itakumemena.
Inabidi nami nijichekeshe ili usamehewe
He he he...
Hebu msaidie kwanza Maya
Mimi hiyo mizimu na hainipati[emoji2]
Maya ahesabie tatizo limekwisha.. Ni yeye tu kufika kilingeni, tumpige mtu zing zong.
 
Vita ya nguvu za giza ni mbaya sana, ikitokea umemkosakosa akafight back basi lazima mmoja wenu achungulie kaburi au ateketeze uzao wake.

Isije kuwa ni hasira tu zinakusukuma hivyo zikiisha ukajutia.
Nafikiri hvyo mm mwenywe Ni hasira tu zilinipelekea kuwafikiria
 
Kuna bosi wangu tulikua tunamwita"ushungi ",alikua anavàa kama Dada samia.

Wakurogwa kabisa yule kwa ile roho yake.

Ana bahati sijui hayo mambo.

Leteni mwongozo.
 
Back
Top Bottom