Njoo kwenye maombi; mpende adui yako kama unavyojipenda wewe
Hapa mcheki mshana tuPoleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Unaenda kufanya nini?Week hii ntaenda iringa kwa mwandulami marehemu nikijaliwa...
Mniombee nifike salama.
Anaenda kuroga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaenda kufanya nini?
Week hii ntaenda iringa kwa mwandulami marehemu nikijaliwa...
Mniombee nifike salama.
Duh hjapata tu
Ova
Aje hapa nimfanyie kazi aitakayoUyo mlengwa wa kike mtoe busha 😂😂😂😂.
Hahaha eti aminaAmina tupeane updates[emoji3][emoji3]
Mwambie Nitakuja kusafisha nyota ingae kama rubi😂😂Hahaha eti amina
Mkuu hamna namna
Haha inaelekea pm imejaaUzi unaishi kwa ajili ya mirejesho [emoji3]
Hutaamini wahitaji ni wengi
Kuna sehemu moja kule korogwe vijijini inaitwa Kwalukonge,kwa wale wanaoifahamu njia ya kaskazini basi unaingilia pale ilipokua hotel maarufu Liverpool...kwa mbali kuna mlima..sasa nyuma ya ule mlima kuna vijiji huko kuna wazee wana kufuru sana.
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna jamaa yangu mmoja alikuja akataka asindikizwe huko kwa madai amedhulumiwa kwenye biashara yake ya madini..anyway kupunguza maneno mengi kufika kule yule mtaalam wala hakua na maneno mengi...aliuliza tu unatakaje? Kilichofuata ndio niliamini kuna dunia zaidi ya hii tunayoijua...hizi habari zisikie tu..ila kuna wazee wanajua..nakumbuka wakati tunarudi jamaa njiani anapigiwa simu anapewa taarifa kuhusu mbaya wake..
Haha inaelekea pm imejaa
Ova
Nada bado tu hujapata mkali wa kutatua tatizo lako? Ili na Mimi anitatulie?
Ndo uweke hapa makoneksheni hayoKuna sehemu moja kule korogwe vijijini inaitwa Kwalukonge,kwa wale wanaoifahamu njia ya kaskazini basi unaingilia pale ilipokua hotel maarufu Liverpool...kwa mbali kuna mlima..sasa nyuma ya ule mlima kuna vijiji huko kuna wazee wana kufuru sana.
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna jamaa yangu mmoja alikuja akataka asindikizwe huko kwa madai amedhulumiwa kwenye biashara yake ya madini..anyway kupunguza maneno mengi kufika kule yule mtaalam wala hakua na maneno mengi...aliuliza tu unatakaje? Kilichofuata ndio niliamini kuna dunia zaidi ya hii tunayoijua...hizi habari zisikie tu..ila kuna wazee wanajua..nakumbuka wakati tunarudi jamaa njiani anapigiwa simu anapewa taarifa kuhusu mbaya wake..
Vingapi ulivyokuwa umevipanga lazima vitimie lakini viliishia hewani?Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu