Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,083
- 6,872
Ni kweli ila lazima ashughulikiwe. Mtu atakuoneaji hivi hivi nyakati hizi?
Nilisimuliwa story moja hivi. Jamaa mmoja alipata mwanamke wa Kiiraq (Mbulu). Jamaa kazi zake ni hizi za vitunguu, kushona magunia na kubeba magunia ya vitunguu. Ilikuwa Karatu. Wakatoka wakaenda Arusha mjini wakapanga chumba maisha yakaendelea.
Mwanamke alipopata ujauzito jamaa akamkimbia. Kilichofuata jamaa ni marehemu sasa (Mwanamke alimuua)
Huko huko alipokuwa alitumiwa kombora na watu wakazika.
Nilisimuliwa story moja hivi. Jamaa mmoja alipata mwanamke wa Kiiraq (Mbulu). Jamaa kazi zake ni hizi za vitunguu, kushona magunia na kubeba magunia ya vitunguu. Ilikuwa Karatu. Wakatoka wakaenda Arusha mjini wakapanga chumba maisha yakaendelea.
Mwanamke alipopata ujauzito jamaa akamkimbia. Kilichofuata jamaa ni marehemu sasa (Mwanamke alimuua)
Huko huko alipokuwa alitumiwa kombora na watu wakazika.
Njoo kwenye maombi; mpende adui yako kama unavyojipenda wewe