Natafuta mganga wa kienyeji konki

Hizo ndo habari za maana sasa. Lete connection bas kama unajua sehemu na mganga mwenyewe basi
 
°Wazazi wako wapo? Maana hawa ndio muhimu kwa suala lako!
°Unamtoto mdogo ambaye ajafika mwaka moja, hata hivyo hazita kuja kwenye magunia utalazimia kufanya biashara yoyote.
#Bwashe au umechoka sana unataka uletewe ndani?
Maelezo yako hayajitoshelezi bwashee. Ongea ni wapi alipo mtaalamu wa kunifanyia hilo unaloongea. Mengine ni mbwembwe tu za nyongeza ambazo sitaki. Lete point yenyewe mtaalamu (uhakika) ni nani na yupo wapi basi ndo nataka alafu mengine niachie mimi. Nimekatwa kichwa, nimefirwa, sijui nimeombwa nini... Hayakuhusu hayo niachie mimi
 
Mimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.

Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
 
karibu sana binti
 
nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.
Ah ah ah Cc #Mshana
 
Nenda Kwamsisi lakini mpaka uwe na jina la Mgangana maana kila Nyumba almost ina Mgangana kila baada ya nyumba 2-3 kwa hiyo bila kuwa na jina watashindwa wakuelekeze uende kwa Mganga yupi! [emoji4]
 
Kuna aliyeko geita ni msukuma aliwah kunionesha advataiz ya kunisaidia kwenye simu yaani ni kiboko si mswahili.

Na hata sijawahi kuonana nae. Ila kweli nilipata hela mpk nikasahau shd kwa muda. Ila hilo lako itabidi muonane. Na atafanya ikitokea ndio umlipe.
 

niko pm mkuu
 
Duhhh...pole ulilipwa?!!!if not check mi on PM
 
Kwakufupisha tu ili nisiwachoshe__wakuu mm nahitaji connection yasangoma alie kuwa vizury kwenye kila idara (nahitaji mafanikio yakimaisha ) sio pesa yakula nataka nitoboe maisha kabisa (nakukaribisha PM) _
 
Lete mawasiliano yake, nataka WA kuzuia wezi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aaah swahiba cv yako imenona
Ulifanikiwa?
Mimi bwana mtu anaeweza kuroga aroge simkatazi walimwengu wabaya sana,hao wanaohubiri hayajawakuta yakiwakuta watajua hawajui,inahitaji Imani thabiti sana kuweza kumlilia Mungu shida zako na kisasi kikalipwa vzr ila mambo ya Imani shirki yapo na watu wanapigwa mishindo kweli
 
Kuna mmoja anaitwa Adui chongo Yuko Pemba naskia sijuii kafa nuksi huyo nae balaaaa mnooi...unaulizwa afe saa ngapi?au na kitu Gani?ajali,moto ,kuumwa au vipi?usiombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…