Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Inaelekea ni mtu aliyekata tamaa(money by any means) . Unakumbuka kuna mtu aliyeambiwa atupe kamba ziwani halafu aivute taratibu bila kuangalia nyuma? Aligeuka kwa ujanja akakuta anamburuza mama mzazi, aliachia kamba na kukimbia. Wakati huo mama yake alikuwa hoi nyumbani, kuachia kamba ndio kupona kwa mama. Unayataka haya?. Ila angeua mama yake kwa style ile angekuwa tajiri!!
Hizo ndo habari za maana sasa. Lete connection bas kama unajua sehemu na mganga mwenyewe basi
 
°Wazazi wako wapo? Maana hawa ndio muhimu kwa suala lako!
°Unamtoto mdogo ambaye ajafika mwaka moja, hata hivyo hazita kuja kwenye magunia utalazimia kufanya biashara yoyote.
#Bwashe au umechoka sana unataka uletewe ndani?
Maelezo yako hayajitoshelezi bwashee. Ongea ni wapi alipo mtaalamu wa kunifanyia hilo unaloongea. Mengine ni mbwembwe tu za nyongeza ambazo sitaki. Lete point yenyewe mtaalamu (uhakika) ni nani na yupo wapi basi ndo nataka alafu mengine niachie mimi. Nimekatwa kichwa, nimefirwa, sijui nimeombwa nini... Hayakuhusu hayo niachie mimi
 
Mimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.

Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
 
Mimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.

Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
karibu sana binti
 
nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.
Ah ah ah Cc #Mshana
Mimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.

Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
 
Nenda Kwamsisi lakini mpaka uwe na jina la Mgangana maana kila Nyumba almost ina Mgangana kila baada ya nyumba 2-3 kwa hiyo bila kuwa na jina watashindwa wakuelekeze uende kwa Mganga yupi! [emoji4]
 
Kuna aliyeko geita ni msukuma aliwah kunionesha advataiz ya kunisaidia kwenye simu yaani ni kiboko si mswahili.

Na hata sijawahi kuonana nae. Ila kweli nilipata hela mpk nikasahau shd kwa muda. Ila hilo lako itabidi muonane. Na atafanya ikitokea ndio umlipe.
 
Kuna aliyeko geita ni msukuma aliwah kunionesha advataiz ya kunisaidia kwenye simu yaani ni kiboko si mswahili.

Na hata sijawahi kuonana nae. Ila kweli nilipata hela mpk nikasahau shd kwa muda. Ila hilo lako itabidi muonane. Na atafanya ikitokea ndio umlipe.

niko pm mkuu
 
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.

Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.

Tafadhali ukipata usinisahau.
Duhhh...pole ulilipwa?!!!if not check mi on PM
 
Kwakufupisha tu ili nisiwachoshe__wakuu mm nahitaji connection yasangoma alie kuwa vizury kwenye kila idara (nahitaji mafanikio yakimaisha ) sio pesa yakula nataka nitoboe maisha kabisa (nakukaribisha PM) _
 
Kuna aliyeko geita ni msukuma aliwah kunionesha advataiz ya kunisaidia kwenye simu yaani ni kiboko si mswahili.

Na hata sijawahi kuonana nae. Ila kweli nilipata hela mpk nikasahau shd kwa muda. Ila hilo lako itabidi muonane. Na atafanya ikitokea ndio umlipe.
Lete mawasiliano yake, nataka WA kuzuia wezi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aaah swahiba cv yako imenona
Ulifanikiwa?
Mimi bwana mtu anaeweza kuroga aroge simkatazi walimwengu wabaya sana,hao wanaohubiri hayajawakuta yakiwakuta watajua hawajui,inahitaji Imani thabiti sana kuweza kumlilia Mungu shida zako na kisasi kikalipwa vzr ila mambo ya Imani shirki yapo na watu wanapigwa mishindo kweli
 
Kuna sehemu moja kule korogwe vijijini inaitwa Kwalukonge,kwa wale wanaoifahamu njia ya kaskazini basi unaingilia pale ilipokua hotel maarufu Liverpool...kwa mbali kuna mlima..sasa nyuma ya ule mlima kuna vijiji huko kuna wazee wana kufuru sana.

Nakumbuka miaka kadhaa nyuma kuna jamaa yangu mmoja alikuja akataka asindikizwe huko kwa madai amedhulumiwa kwenye biashara yake ya madini..anyway kupunguza maneno mengi kufika kule yule mtaalam wala hakua na maneno mengi...aliuliza tu unatakaje? Kilichofuata ndio niliamini kuna dunia zaidi ya hii tunayoijua...hizi habari zisikie tu..ila kuna wazee wanajua..nakumbuka wakati tunarudi jamaa njiani anapigiwa simu anapewa taarifa kuhusu mbaya wake..
Kuna mmoja anaitwa Adui chongo Yuko Pemba naskia sijuii kafa nuksi huyo nae balaaaa mnooi...unaulizwa afe saa ngapi?au na kitu Gani?ajali,moto ,kuumwa au vipi?usiombe
 
Back
Top Bottom