Natafuta mganga wa kienyeji konki

Mshana Jr eb muelekeze kwa yule mtu uliyempa mikoba
 
Mkuu nitupie na mimi hyo konki 😁
 
Njoo inbox
 
Kuna mtu alinifanyia ujinga na kuondoka na mali zangu nikaelekezwa Tanga ebwana wee kuna wazee ni hatari na nusu
 
2015,2018 Binti yangu alirogwa Na mdogo wangu alirogwa nikajua waganga wapo wa feki na kweli amekuja kupona 2020 subhana llaaha amekuja kupona Kwa Maji tu Kwa dogo Mmoja vingunguti pale
 
Ntaleta visa ila nikiona mtu anaroga simlaumu na Ukiweza lipa kisasi lipa Hata kuua ua
Mimi nimetendwa ,nimeumizwa na washirikina mnoo siwezi kurudisha kisasi hapa duniani ila tutakutana kwa Mungu
 
YESU NI JIBU LA MAMBO YOTE.
Ni kweli haingwi ila mf. Umeishi na imani hiyo tokea mdogo na Sasa shukurani ni kutoolewa hadi 35, kila kazi unafukizwa ikifika miezi 3, ukipata mwanaume anaota ajali anakufaa huyo Yesu anakuangalia wanadamu wakikupiga mashambulizi hadi basi .

Anachokupa ni uhai. Mateso kama yote nimeishi Mimi na majini ya ndugu wa mama yangu miaka na miaka naomba kanisani kama Nini nimetupwa chooni nyota imeshushwa nimefungwa halafu wewe upo Yesu ndio suluhisho unamjua umemuonaga . Ni Bora mtu tu awe mpagani
 
Ntaleta visa ila nikiona mtu anaroga simlaumu na Ukiweza lipa kisasi lipa Hata kuua ua
Mimi nimetendwa ,nimeumizwa na washirikina mnoo siwezi kurudisha kisasi hapa duniani ila tutakutana kwa Mungu
Tusaidie basi mtu wangu nateseka na mizimu na majini na vifungo vya ndugu wa mama wananitumia kama chuma ulete
 
Wakuu rafiki yangu biashara yake haendi Poa kaenda maombi sana.
Hajaijaleta faida na pia anashida kwenye mahusiano yake anaomba mganga mzuri atakayemsaidia.

Kama ingekuwa Mimi ningesema tu nawaofia Nini.

Ila Kama kichaa unacho halafu ujatibiwa kwenu basi naomba usije hapa pia naomba Mshana Jr asishiriki kwenye huu Uzi namuheshimu ila hapana
 
Mahusiano kivipi? Ni me au ke? Most of the time shida inakuwa kwake mwenyewe.

Mpe hii " I don't fix any problem I just change the way I think about the problem and the problem will fix itself"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…