DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Pm njooLete mawasiliano yake, nataka WA kuzuia wezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm njooLete mawasiliano yake, nataka WA kuzuia wezi
Mkuu hata mimi nahitaji dawa ya kupambana na wezi.Pm njoo
Mshana Jr eb muelekeze kwa yule mtu uliyempa mikobaPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Una duka?Mkuu hata mimi nahitaji dawa ya kupambana na wezi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Huamini..? Ajira ni tatizo kwako..?Mganga mganga hivi na waganga wanaweza kufanya ukapata ajira[emoji16]
Leten no hizo chap[emoji817]
Mkuu nitupie na mimi hyo konki 😁Ulifanikiwa?
Mimi bwana mtu anaeweza kuroga aroge simkatazi walimwengu wabaya sana,hao wanaohubiri hayajawakuta yakiwakuta watajua hawajui,inahitaji Imani thabiti sana kuweza kumlilia Mungu shida zako na kisasi kikalipwa vzr ila mambo ya Imani shirki yapo na watu wanapigwa mishindo kweli
Umekuja PM yangu Mimi?
Njoo inboxPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Ngoja nifunguembona PM yako umeifunga _..?
Ngoja nifungue
Ni kweli haingwi ila mf. Umeishi na imani hiyo tokea mdogo na Sasa shukurani ni kutoolewa hadi 35, kila kazi unafukizwa ikifika miezi 3, ukipata mwanaume anaota ajali anakufaa huyo Yesu anakuangalia wanadamu wakikupiga mashambulizi hadi basi .YESU NI JIBU LA MAMBO YOTE.
Tusaidie basi mtu wangu nateseka na mizimu na majini na vifungo vya ndugu wa mama wananitumia kama chuma uleteNtaleta visa ila nikiona mtu anaroga simlaumu na Ukiweza lipa kisasi lipa Hata kuua ua
Mimi nimetendwa ,nimeumizwa na washirikina mnoo siwezi kurudisha kisasi hapa duniani ila tutakutana kwa Mungu
Huyu Mshana Jr anaangalia wakumsaidia watu wanamfuta kawablock unajua ingekuwa Mungu kampa karma yeye tu yakusaidia watu basi tungekufa mtu unashida kubwa anakuambia ogea chumvi utapata kazi seriouslyCarrasco putin mwite kakako Mshana Jr