Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha.............nitaghairi kwenda kutafuta Utajiri iwapo utafanya mpango wa kuninunulia Tumbaku yangu kila mwezi, kukaa bila kuvuta kwa sisi Wazee hatuwezi kabisa 🤪🙈Heri tu mpumzike mkiwa apecha alolo
Mali nyingi za nini na wakati hamzikwi nazo?