Natafuta mganga wa kienyeji konki

Heri tu mpumzike mkiwa apecha alolo
Mali nyingi za nini na wakati hamzikwi nazo?
Hahaha.............nitaghairi kwenda kutafuta Utajiri iwapo utafanya mpango wa kuninunulia Tumbaku yangu kila mwezi, kukaa bila kuvuta kwa sisi Wazee hatuwezi kabisa 🤪🙈
 
Hahaha.............nitaghairi kwenda kutafuta Utajiri iwapo utafanya mpango wa kuninunulia Tumbaku yangu kila mwezi, kukaa bila kuvuta kwa sisi Wazee hatuwezi kabisa 🤪🙈
Deal ✅

Sema kingine mzee?
 
Sweta gani la 2m kasoro 😂😂😂
Hapana, tuendelee na ulozi
Ehee mganga alisema tupeleke nini?
Yaani koti tu kutoka Italy 🇮🇹 gharama yake haizidi dollar 800 tu, fanya mpango Babu asife kwa baridi Mjukuu
 
Sweta gani la 2m kasoro 😂😂😂
Hapana, tuendelee na ulozi
Ehee mganga alisema tupeleke nini?
Mganga hataki vitu vingi, yeye anataka sarafu tu ya shilingi 50 na majina ya mlengwa 🤪
 
Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. [emoji1545][emoji1550]
 
@Mshana Jr
 
Page ya tisa hakuna namba ya mganga konki hakuna koneksheni.....Wana acheni uchoyo
 
Page ya tisa hakuna namba ya mganga konki hakuna koneksheni.....Wana acheni uchoyo
95% siku hizi ni wapigaji na hao halisi dawa wanazotumia hazina nguvu tena kutokana na mazingira ya dunia kubadilika sana kutokana na ardhi kunajisiwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…