Natafuta mganga wa kienyeji konki

hapa mtaani wa kwanza ni mama mariam wa mzee mwinyi, toka Mloka, siyo Masasi
wa pili mie, natoa majini mahaba, walioathirika na nyeto, natoa hilo pepo pia, kama unataka mchumba chap unapata pia
Kweli nimeamini mganga hajigangiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€£πŸ€£πŸ€¦β€β™€οΈ
 
Aende wapi boss?πŸ˜€
Aje huku ndipo kwenye utajiri wa kweli.

"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."
 
Amina sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…