Mpaka Leo kapanga si aliachaga ajira ya ualimu huyuYuko hapa sala sala kapanga ni mchungaji kuacha hiyo comedy zake [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka Leo kapanga si aliachaga ajira ya ualimu huyuYuko hapa sala sala kapanga ni mchungaji kuacha hiyo comedy zake [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Mbona kaporomoka ghafla na uchunguja wake wakati alikuwa na vibe kwenye MCYuko hapa sala sala kapanga ni mchungaji kuacha hiyo comedy zake [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Tutafutane unisaidienkuo
Uko wapiNi PM mkuu nkuo
Ni PM mkuu nkupe chimbo la TANGA
Naomba namba zako posherHata mtoto wa mdgo wangu alikuwa na hilo tatzo hadi tulipokutana na mtaalam wa TANGA. Ndan ya sku 2 mtoto alikuwa vizur. Hiyo ilikuw mwaka 2021 hadi leo yuko poah Strong25
Pm yangu iko waziNaomba namba zako posher
Naomba namba zako posher
Sawa asante sana. Wewe utakuwa unajua mmojaHili jamaa tapeli nakupa warning nimemaliza.
Kwa status yako hapa JF naamini hii ni OG sourceHaya chimbo jipya Hilo hapo
0787 555 724
point .....Huwezi pata mganga wa kweli bila kuliwa kwanza Hela na waganga feki
Aisee Mimi natafuta wa kuzuia nisiibiwe au zindiko la kuzuia wizi..Hakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.
Sema unataka ufanyiwe kazi gani, momba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.
Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
nataka nipandishwe cheo kaziniHakuna anaefanya uchawi kwa "shukran" tu.
Sema unataka ufanyiwe kazi gani, momba'ngu kishapata ulaji hapa. Hata ukitaka mtu busha na nanihii yake imtokee kichwani anakufanyizia.
Tangaza unataka afanywe nini tukwambie gharama zake, nipo nae hapa karibu mtaalaam wa kutokea Kisiju.
Unafanya kazi gani?nataka nipandishwe cheo kazini