Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
KAMA BADO UNAITAJI MGANGA WA UHAKIKA NI CHEKI 0678063140 UKIFANIKIWA UTANISHUKURU
 
Chukuwa bakuli jeupe la udongo ntakuelekeza cha kufanya utaona kila kitu mubashara hapo hapo ulipo.

Mambo madogo hayo.
Kuishi kwingi kuona mengi, ukiona mtu amesimama kimaisha kibiashara usimchukulie poa kakwepa mishale mingi huyo, Halllah!
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo...
Fanya chini juu uonane na Bi Sandra (Mama yake na Diamond).
 
Wakuu kama title inavyojieleza, kuna rafiki yangu ambaye amepata matatizo na amehangaika makanisani miaka na miaka lakini tatizo ndio kama linaota mizizi.

Mimi ndie kama ndugu yake na msaada wake anaetegemea (Hana msaada) so najaribu kuhangaika sana ila nimeona ni bora nishirikishe wadau ili nipate mtaalamu wa uhakika mwenye uwezo wa kuondoa vifungo mbali mbali nk

Nipo Dar.. Kwa ambaye anayo namba ya mtaalamu mzuri wa uhakika kwenye mambo ya asili basi anipe mawasiliano yake.
 
Back
Top Bottom