Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Njoo DR Congo huku uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko wapigaji wengi sana mkuu.Njoo DR Congo huku uhakika
Hapana Mkuu huku hata akitaka utajiri anapewaHuko wapigaji wengi sana mkuu.
DuuuuuhNenda kiloka kuna mzee ila jina lake huwezi amini silijui kabisa,huyu mzee panda gari zinazopita mikese kuja kutokea kiloka,shuka hapo tafuta bodaboda yeyote mwambie nataka yule mzee anaeishi peke yeke juu ya mlima.
Ukipanda gari shuka kituo kinaitwa dukani.
Kila la kheri
Ni mkoa na wilaya gani hukoNenda kiloka kuna mzee ila jina lake huwezi amini silijui kabisa,huyu mzee panda gari zinazopita mikese kuja kutokea kiloka,shuka hapo tafuta bodaboda yeyote mwambie nataka yule mzee anaeishi peke yeke juu ya mlima.
Ukipanda gari shuka kituo kinaitwa dukani.
Kila la kheri
Hayo ni maneno ya kwenye makatasi, huku mtaani unaweza unafanya yoyote, uza sana bidhaa bora, shusha bei, fungua mapema na ukafunga kwa kuchelewa, ongea vizuri uwezavyo still UKAPIGWA DOLO LA WATEJA.Mganga mkuu wa biashara yako ni ulimi wako kwa wateja wako
Hayo ni maneno ya kwenye makatasi, huku mtaani unaweza unafanya yoyote, uza sana bidhaa bora, shusha bei, fungua mapema na ukafunga kwa kuchelewa, ongea vizuri uwezavyo still UKAPIGWA DOLO LA WATEJA.
MTAA HUUJUI WEWE
Mganga mkuu wa biashara yako ni ulimi wako kwa wateja wako
Ninafanya biashara nafanikiwa kutokana na hilo sijatumia mganga wala majiniUnakaza fuvu tu, hujui lolote. Watu tumefanya sana mambo hayo tena sana na zaidi ujuavyo lakini sio kama ulivyo andika.
Mmh akikupa.Share nasi mawasiliano yake, hii itakuwa kama shukurani yako kwake kwa kumtafutia wateja wengine.
Kenge mwenyeweAchana na waganga we kenge utapigwa, njoo pm nikupe connection ya ana kwa ana na ibilisi.
Naona man jamaa yuaitwa Don shafineyzKwa alieko mwanza naitaji mtaalam mkweli
Njoo pmKwa alieko mwanza naitaji mtaalam mkweli
Labda labda biashara ya kujiuzaNinafanya biashara nafanikiwa kutokana na hilo sijatumia mganga wala majini