Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Mkuu pole sana, mama aike dumba anaweza kukurudisha kwenye ramani fasta mno. Nakuja pm kwa maelekezo zaidi.
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Achana na watu wanaokwambia eti mganga hawezi kukusaidia, ata mimi katika kipindi flani cha maisha yangu niliaminishwa ivo na ukizingatia elimu dunia niliyonayo nilipingana sana na hoja ya kuwa waganga wana nguvu za kuweza kusaidia.mwaka 2019 yaliponikuta biashara yangu ikapigwa pini na TRA, wyf akaugua pressure ndo niliisoma namba.mwamba mmoja ndo alinitip uwepo uwepo wa mama aike dumba ,Mungu katika dunia,alpha na omega, na ndio ukawa mwisho wa matatizo yangu
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Mganga ndo anaenda kumaliza show kabisa na kukufanya uwe chizi
 
Before uende kwa mganga jiulize hili, unataka permanent solution au temporary.

Permanent, ---- Mrudie Mungu itachukia muda ila ukiwa mvumilivu utafanikiwa.

Temporary----- Nenda kwa mganga ila jiandae kuwa mtumwa wa mambo hayo na Hali yako in nearest future itakua mbaya kuliko uliyonayo hivi sasa.
 
Back
Top Bottom