BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Mganga nae anatafuta hela ya mtaji afungue biashara patamu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaongea Nikiwa nina experience ya miaka sio chini ya 4Aya maswala yako juu ya upeo wa akili na experience yako ,bora ukae kimya kuliko kupotosha
Oya mpe namba yangu.Sijui nikupe namba ya Abdul tupate hela ya bapa badae?
Una nuksi zilizo pitiliza?Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Hakuna Mganga zaidi ya MUNGU, usidanganyike ndugu yangu.Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
Achana na watu wanaokwambia eti mganga hawezi kukusaidia, ata mimi katika kipindi flani cha maisha yangu niliaminishwa ivo na ukizingatia elimu dunia niliyonayo nilipingana sana na hoja ya kuwa waganga wana nguvu za kuweza kusaidia.mwaka 2019 yaliponikuta biashara yangu ikapigwa pini na TRA, wyf akaugua pressure ndo niliisoma namba.mwamba mmoja ndo alinitip uwepo uwepo wa mama aike dumba ,Mungu katika dunia,alpha na omega, na ndio ukawa mwisho wa matatizo yangu
Mkuu nipe na mm connection please.Achana na watu wanaokwambia eti mganga hawezi kukusaidia, ata mimi katika kipindi flani cha maisha yangu niliaminishwa ivo na ukizingatia elimu dunia niliyonayo nilipingana sana na hoja ya kuwa waganga wana nguvu za kuweza kusaidia.mwaka 2019 yaliponikuta biashara yangu ikapigwa pini na TRA, wyf akaugua pressure ndo niliisoma namba.mwamba mmoja ndo alinitip uwepo uwepo wa mama aike dumba ,Mungu katika dunia,alpha na omega, na ndio ukawa mwisho wa matatizo yangu
Yule wa pembaSijui nikupe namba ya Abdul tupate hela ya bapa badae?
Ushafanya tafiti sababu zinazowapunguza wateja dukani kwako?Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Sema wewe umekutana na matapeli acha ku generalize.Ninaongea Nikiwa nina experience ya miaka sio chini ya 4
Ndo maana yake, kuna umuhimu gani wa kuwa na mungu asiekua na msaada kwako??Unamshukuru Mungu kukupatia mganga bora kabisa au sio....