raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hii kitu mbona ni LIVE bila chenga ππUnataka Smart911 akamegewe tunda lake "Mahondaw" kimasihara na Mganga wa jadi kama huyu? [emoji116][emoji38]View attachment 2997705View attachment 2997706
Mkuu pole sana nione mimi kwa Wakati wako ili niweze kukusaidia upande juu kimaisha na kabla ya kuniona mimi fanya ninakupa ushauri wa bure saidia masikini pika chakula uwape watoto wadogo wale saidia mayatima saidia wazazi wako saidia ndugu zako walio chini kimaisha muulize mzazi wako je kwao kuna mambo ya matambiko ya kiasili?kama yapo kafanye acha uzinzi aka zinaa acha ulevi kuwa msiri sio kila mtu unamwambia matatizo yako punguza marafiki wengine ni maaduwi zako. Njoo nikusafishe nyota yako ili mambo yako yapate kwenda mbele uwe tajiri ninakutakia mafanikio mema.Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Mganga wa jadi alifaidi utamu wenyewe haswa, wezele, makalio laini, urefu, rangi, sura daaah [emoji119]Hii kitu mbona ni LIVE bila chenga [emoji38][emoji38]
Shetani na Mungu ni pande mbili za shilingi moja.Elezea kwa mapana nikuelewe.
Ni rafiki yangu sana ,anaweza kukuigizia ili akupige hata fifty ya haraka haraka ili badae Mimi na yeye tuishi vizuri
We jamaa msenge kweli hhhhhh
Utajiri wa masharti unajua unakopatikana mm naihitaji?Unataka utajiri wa masharti au dawa za mvuto wa biashara?
Uko wapi?Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Wateja watamiminika wakati Hana kitu.kabaki mtupu.mpe ramani apate mtajiMkuu hapa watakudanganya waganga wapo na wengi humu wanaendaga, si wanawake wala wanaume ila siri zao.!!
Njoo nikupeleke Kigoma nguruka uko ukaoshwe utoe nuksi wateja watamiminika mpk ushangae.
Naombeni ulinzi wa comment yangu π€£
Tulia mkuu Tena Tulia !!Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
na mimi mkuuNikupe connection ya handeni Tanga
naomba number na mimi, pleaseJambo langu limekamilika [emoji736],nilipewa siku 7 ndani ya siku 3 majibu tayari
Wana jf washukuriwe [emoji1433][emoji1431]
Mganga mungu [emoji16][emoji16]Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.
Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.
Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani
Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.
pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.