Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Mkuu pole sana nione mimi kwa Wakati wako ili niweze kukusaidia upande juu kimaisha na kabla ya kuniona mimi fanya ninakupa ushauri wa bure saidia masikini pika chakula uwape watoto wadogo wale saidia mayatima saidia wazazi wako saidia ndugu zako walio chini kimaisha muulize mzazi wako je kwao kuna mambo ya matambiko ya kiasili?kama yapo kafanye acha uzinzi aka zinaa acha ulevi kuwa msiri sio kila mtu unamwambia matatizo yako punguza marafiki wengine ni maaduwi zako. Njoo nikusafishe nyota yako ili mambo yako yapate kwenda mbele uwe tajiri ninakutakia mafanikio mema.
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Uko wapi?
 
Mkuu hapa watakudanganya waganga wapo na wengi humu wanaendaga, si wanawake wala wanaume ila siri zao.!!
Njoo nikupeleke Kigoma nguruka uko ukaoshwe utoe nuksi wateja watamiminika mpk ushangae.

Naombeni ulinzi wa comment yangu 🤣
Wateja watamiminika wakati Hana kitu.kabaki mtupu.mpe ramani apate mtaji
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Tulia mkuu Tena Tulia !!

Ni kawaida sana hii,unakua Kwa Kasi sana kiuchumi halafu ghafula wazee wanajiuliza "anaenda wapi huyu!!!?

Amka saa nane au Tisa usiku,nenda sehem tulivu ukiwa peke yako!

Omba Kwa kiswahili kabisa Mwambie akupe mwelekeo mpya hujui Nini Cha kufanya!!asubuhi utauona mwanga na kianzio!!!

Halafu jiulize Asili ya mafanikio Yako ni nini!!?ulimwengu wa Giza au Nuru kuu ya Mungu!!?

Kama ni nuru usichanganye Katie sadaka halafu omba sana usiku ule wa saa Saba,nane au tisa!
 
  • Natamani serikali itoe mwongozo wa huduma za kiganga pia kusajili waganga. Watu wanatapeliwa sana na waganga bandia, waganga wasio na uwezo kwenye changamoto husika, waganga waliokiuka miiko na kukosa nguvu za kiganga n.k
  • Kwa kuwa serikali haina dini, isiogope kelele za viongozi wa dini watakaopinga mpango huo.
  • Jirani zetu Kenya wamefanikiwa sana ktk hili, waganga wamefanikiwa, wanafanya x-ray kujua kama tatizo husika itatibika kizungu au kienyeji. Hii inasaidia sana kupunguza msongamano wa wahonjwa hosptalini.
 
Wale ambao tulishawahi kwenda kwa waganga leo tuna uzi wetu.

Naanza na Profesa Maji Marefu kutoka hapo Tanga.

Endeleza list…
 
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya.

Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia familia yangu.

Baada ya mwanzo mzuri sana wa biashara yangu ilianza kufa ghafla na imedidimia hadi leo. Nakaa kuhesabu boda boda zikipita njee ya barabarani

Nisaidieni kupata mganga mzuri mwenye kuweza kunirudisha vizuri kiuchumi.

pliz naomba usiwe mzito kunisaidia.
Mganga mungu [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom